BIG LIST OF WEBSITES

List of Top Websites Like Dkt-gmbh.com

Top 250 Websites Like DKT-GMBH.COM

Download the Top 250 Websites to PDF

Last updated on Apr 1 2024.
Here are the best websites we found: nhif.or.tz • republika.co.id • pmfby.gov.in • bimamobile.com • ajiraforum.com • forum8.co.jp • muungwana.co.tz • iaimbima.ac.id • nhif.or.tz

Press CTRL-D to bookmark this list - BigListofWebsites.com
Rank
Url
Preview
Tags
Score
Home | National Health Insurance Fund
Alexa Rank
80,463
Republika Online. berita terpopuler,berita terkini,berita terbaru,berita hari ini, membahas isu politik,nasional,ekonomi syariah,dunia islam dan peristiwa terhangat Indonesia
Alexa Rank
838
Pradhan Mantri Fasal Bima Yojana - Crop Insurance | PMFBY - Crop Insurance. Pradhan Mantri Fasal Bima Yojana (PMFBY) is the government sponsored crop insurance scheme that integrates multiple stakeholders on a single platform.
Alexa Rank
37,613
Bima Mobile – Protecting the future of every family
Alexa Rank
62,375
Ajiraforum - Ajira Forum | Your Dream Job Destination| Nafasi za kazi Mpya Tanzania|Scholarship For Africans|Ajira mpya leo|Mabumbe Jobs| Brighter monday| Ajira yako| Ajira zetu| Ajira portal|kijiwe cha wasomi| Ajira leo| Utumishi| Tamisemi| Ajira portal|Jamii forum Ajira|Nafasi za kazi May 2020|Nafasi za kazi June 2020|Nafasi za kazi July 2020|Nafasi za kazi August 2020|Nafasi za kazi September 2020|Nafasi za kazi October 2020|Nafasi za kazi November 2020|Nafasi za kazi December2020| Ajira za Walimu 2020| Ajira za Afya| Ajira za Udereva| Nafasi za kazi Tanesco| Nafasi za kazi TRA| Nafasi za kazi Halmashauri |Nafasi za Kazi zanzibar| Ajira Mpya Serikali ya Mapinduzi zanzibar| Nafasi za kazi Arusha 2020| Nafasi za kazi Kilimanjaro 2020| Nafasi za kazi Tanga 2020| Nafasi za kazi Morogoro 2020 |Nafasi za kazi Pwani 2020| Nafasi za kazi Dar es Salaam 2020| Nafasi za kazi Lindi 2020| Nafasi za kazi Mtwara 2020| Nafasi za kazi Ruvuma 2020| Nafasi za kazi Iringa 2020| Nafasi za kazi Mbeya 2020| Nafasi za kazi Singida 2020| Nafasi za kazi Tabora 2020| Nafasi za kazi Rukwa 2020| Nafasi za kazi Kigoma 2020| Nafasi za kazi Shinyanga 2020| Nafasi za kazi Kagera 2020| Nafasi za kazi Mwanza 2020| Nafasi za kazi Mara 2020| Nafasi za kazi Manyara 2020| Nafasi za kazi Njombe 2020| Nafasi za kazi Katavi|2020 Nafasi za kazi Simiyu 2020| Nafasi za kazi Geita 2020 Nafasi za kazi Songwe 2020 Nafasi za kazi Unguja Kaskazini 2020| Nafasi za kazi Unguja Kusini 2020| Nafasi za kazi Unguja Mjini Magharibi 2020| Nafasi za kazi Pemba Kaskazini 2020| Nafasi za kazi Pemba Kusini 2020|Ajira za polisi 2020| Nafasi za kujiunga na JKU|. Nafasi Mpya Za kazi Tanzania |Ajira mpya Serikalini na makampuni Binafsi |Scholarship |Fellowship|Internship| Interview Tips |Maswali mbali mbali ya kushinda interview| Utumishi| Ajira portal|Tamisemi| Ajira Mpya za walimu| Ajira mpya sekta ya Afya|Necta Matokeo ya mthani Darasa la saba| Necta Matokeo ya Mtihani kidato cha nne| Necta Matokeo ya Mtihani kidato cha sita|Ajira mpya 2020| Ajira yako|Ajira zetu| Ajira leo| Mabumbe Job| Zoom Tanzania Ajira| Jamiiforum Ajira| Nafasi za kazi May 2020| Nafasi za kazi June 2020| Nafasi za kazi July 2020| Nafasi za kazi August 2020|Nafasi za kazi September 2020|Nafasi za kazi October 2020| Nafasi za kazi November 2020| Nafasi za kazi December2020|internship application letter|Opportunity for Africa| Scholarship forum| scholarship Desk| Allscholarship|Study in china| study in canada| Unicaf scholarship|Scholarships.com|CollegeNet.com|FastWeb|FinAid.com|The College Board|ScholarshipMonkey|SallieMae|Zinch|The Best Scholarships in California|The Best Scholarships in Louisiana|The Best Scholarships in Maryland|The Best Scholarships in Michigan|The Best Scholarships in North Carolina|The Best Scholarships in Ohio|The Best Scholarships in South Carolina|The Best Scholarships in Texas|The Best Scholarships in Utah|The Best Scholarships in Virginia|Scholarship for Tanzanians| University selections 2020|Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020| jobs in tanzania 2020| Ajiriwa.net |jobs in tanzania for foreigners| job for form six leavers in tanzania|Nafasi za kazi Dodoma 2020 |Nafasi za kazi Arusha 2020 |Nafasi za kazi Kilimanjaro 2020 |Nafasi za kazi Tanga2020 |Nafasi za kazi Morogoro 2020 |Nafasi za kazi Pwani 2020 |Nafasi za kazi Dar es Salaam 2020 |Nafasi za kazi Lindi 2020 |Nafasi za kazi Mtwara 2020 |Nafasi za kazi Ruvuma 2020 |Nafasi za kazi Iringa 2020 |Nafasi za kazi Mbeya 2020 |Nafasi za kazi Singida 2020 |Nafasi za kazi Tabora 2020 |Nafasi za kazi Rukwa 2020 |Nafasi za kazi Kigoma 2020 |Nafasi za kazi Shinyanga 2020 |Nafasi za kazi Kagera 2020 |Nafasi za kazi Mwanza 2020 |Nafasi za kazi Mara 2020 |Nafasi za kazi Manyara 2020 |Nafasi za kazi Njombe 2020 |Nafasi za kazi Katavi2020 |Nafasi za kazi Simiyu 2020 |Nafasi za kazi Geita 2020 |Nafasi za kazi Songwe 2020 |Nafasi za kazi Unguja Kaskazini 2020 |Nafasi za kazi Unguja Kusini 2020 |Nafasi za kazi Unguja Mjini Magharibi 2020 |Nafasi za kazi Pemba Kaskazini 2020 |Nafasi za kazi Pemba Kusini 2020|Matokeo ya kidato cha pili Zanzibar 2020/2021|UDSM Selection 2020/2021 -University of Dar es Salaam UDOM Selection 2020/2021 -University of Dodoma| MUCCOBS Selection 2020/2021|Ardhi University Selections 2020/2021|Katavi university of Agriculture Selections 2020/2021|MUST selection 2020/2021-Mbeya university of science and Technology| MOCU Selection 2020/2021 -Moshi co-operative university| MUHAS Selection 2020/2021-Muhimbili University of Health and Allied Sciences| IFM Selections 2020/2021| CBE selection 2020/2021| Tumaini University Makumira Selections 2020/2021| SUA selections 2020/2021| University of Iringa selections 2020/2021| St.John's University of Tanzania selections 2020/2021| Arusha Technical College selections 2020/2021| SAUTI Selections 2020/2021-St. Augustine University Of Tanzania| St. Joseph University In Tanzania selections 2020/2021| MUM Selections 2020/2021-Muslim University of Morogoro| SUZA selections 2020/2021-State University of Zanzibar| ESAMI Selections 2020/2021- Eastern and Southern African Management Institute| Zanzibar University selections 2020/2021| Nelson Mandela African Institute of Science and Technology selections 2020/2021| KIU Selections 2020/2021 -Kampala International University in Tanzania| Julius Nyerere University of Agriculture selections 2020/2021| Eckernforde Tanga University selections 2020/2021| University of Bagamoyo selections 2020/2021| United African University of Tanzania selections 2020/2021|Mount Meru University selections 2020/2021| Teofilo Kisanji University selections 2020/2021| Sebastian Kolowa Memorial University selections 2020/2021| International Medical and Technological University selections 2020/2021| TIA selections 2020/2021|-Institute of Acountant | MNMA selections 2020/2021-mwalimu nyerer memorial Academy| Job in zanzibar |Hotel job zanzibar |Un job zanzibar|
Alexa Rank
115,402
フォーラムエイトホームページ|VRソフト・BIMソリューション・土木設計ソフト・構造解析ソフト・シミュレーション
Alexa Rank
42,054
MUUNGWANA BLOG | Siasa, Afya, Michezo, kilimo, Biashara, Urembo na Makala. Muungwana ni Blog ya Kitanzania inayohusu Habari, Michezo na Burudani. Muungwana ilianzishwa tangu 2015, Pia Muungwana Blog ipo katika Android na ios
Alexa Rank
80,461
Institut Agama Islam Muhammadiyah Bima | Website Official Institut Agama Islam Muhammadiyah Bima
Alexa Rank
424,588
Insurance Policies 2021. lic jeevan anand, jeevan anand 149, jeevan anand, jeevan anand (plan-149), lic jeevan anand 149, jeevan anand plan 149, jeevan anand policy, lic jeevan anand policy, lic plan 149, jeevan anand policy details, jeevan anand plan, lic jeevan anand plan, lic jeevan anand plan 149, lic jeevan anand policy details, jeevan anand lic policy, jeevan anand t no 149, jeevan anand lic, lic policy jeevan anand, jeevan anand plan 149 details, lic jeevan anand plan details, plan 149 lic, lic jeevan anand 149 benefits, जीवन आनंद पॉलिसी 149, jeevan anand with profits, lic jeevan anand returns, jeevan anand plan 149 benefits, lic 149 plan, lic jeevan aanand, lic table 149, lic 149 plan details, lic jeevan anand 149 maturity calculator, lic 149, 149 lic plan, jeevan anand table 149, lic plan no 149, lic jivan anand, lic plan 149 details, lic jeevan anand premium, jeevan anand 149 benefits, jeevan anand (plan-149) details, lic jeevan anand policy 15 years, lic table no 149, jeevan anand plan details, jeevan anand lic plan, lic jeevan anand benefits, lic jeevan bima policy plan, lic policy 149, 149 jeevan anand, lic jeevananand, jeevan anand 149 maturity calculator, lic jeevan anand table 149, lic jeevan anand policy calculator, jeevan anand policy lic, lic jeevan anand plan chart, jeewan anand, jivan anand policy, lic jeevan anand policy details plan 149, lic jeevan anand policy status, lic jeevan anand details, lic plan jeevan anand, lic of india jeevan anand, jeevan anand (plan-149) maturity calculator, jeevan anand policy of lic, jeevan anand lic policy details, lic jeevan anand policy benefits, lic plan 149 maturity calculator, lic jeevan anand with profits with accident benefit, lic anand, jeevan anand policy details with example, lic jeevan policy, lic jeevan anand with profits, jeevan anand with profit with accident benefit, jeewan anand policy, jeevan anand plan 149 calculator, old jeevan anand policy, lic jeewan anand, lic jeevan anand maturity amount table, lic jivan aanand, lic jeevan anand 149 premium calculator, lic jeevan anand 149 calculator, 149, jeevan anand with profits and accident benefit, lic jeevan anand policy details plan, lic jeevan anand scheme, lic jeevan anand calculation maturity amount, best lic policy for womens 2021, lic jivan anand policy, lic jeevan anand policy details chart, jeevan anand 149 calculator, jeevan anand lic policy benefits, jeevan anand plan 149 maturity calculator, lic jeevan anand returns chart, lic calculator jeevan anand, lic jeevan anand policy maturity calculator, lic jeevan anand maturity amount, jeevan anand combination, jeevan anand details, lic bonus calculator jeevan anand, jeevan anand 149 vested bonus, jeevan lic, lic return calculator jeevan anand, lic premium plans 2021, jeevan anand 149 surrender, maturity calculator for jeevan anand, lic jeevan anand 149 maturity amount calculator, jeevan anand maturity amount, jeevan anand calculator maturity sum assured, lic plan combination, lic jeevan anand policy details in telugu, jeevan anand maturity chart, lic benefit illustration, lic benefit illustration calculator, lic jeevan anand plan 149 surrender value calculator, jeevan anand 149 surrender value calculator, lic jeevan anand 149 surrender value, jeevan anand 149 surrender value, jeevan anand policy details chart, lic jeevan anand 149 surrender value calculator, jeevan anand plan 149 surrender value, lic jeevan anand premium chart, lic jeevan anand policy premium chart pdf, new jeevan anand 815 premium chart pdf, lic jeevan anand surrender value calculator, lic jeevan saral surrender value chart, lic jeevan anand policy chart, jeevan anand policy chart, jivan saral policy chart, lic jeevan anand 815 premium chart, jeevan anand surrender value calculator, lic jeevan anand calculator, lic maturity calculator, jeevan anand calculator, lic jeevan anand maturity calculator, lic maturity amount calculator, lic premium calculator jeevan anand, lic policy maturity calculator, jeevan anand policy calculator, lic jeevan anand maturity calculator excel, lic jeevan anand returns calculator, lic jeevan anand premium calculator, jeevan anand lic policy maturity amount calculator, lic maturity calculator jeevan anand, jeevan anand lic calculator, jeevan anand maturity calculator excel, jeevan anand returns, jeevan anand lic policy return calculator, jeevan anand calculator lic, jeevan anand maturity amount calculator, jeevan anand premium and maturity calculator, jeevan anand lic policy calculator, calculate lic premium, lic policy benefits calculator, jeevan anand return chart, jeevan anand maturity calculator, lic jeevan anand bonus, lic jeevan anand policy details plan in hindi pdf, lic table, lic death claim calculator, lic jeevan saral maturity amount calculator, jeevan saral surrender value calculator, lic jeevan anand calculator excel, lic bonus calculator, lic bonus rate, lic bonus rate 2021-20, what is vested bonus in lic jeevan anand, lic bonus rate 2021, jeevan anand bonus, lic bonus 2021, vested bonus in lic jeevan anand, vested bonus in jeevan anand, lic bonus history, lic bonus 2021-20, lic bonus calculation, bonus rate of lic, lic bonus 2021, accrued bonus lic, lic bonus rate 2021-21, bonus rate, lic policy vested bonus calculation, bonus guaranteed addition in lic, accrued bonus in lic means, lic bonus 2021-19, lic bonus rate 2021-19, bonus calculator 2021, bonus declared by lic, lic bonus rates 2015-16, lic vested bonus calculator, what is accrued bonus in lic, lic jeevan anand interest rate, lic bonus chart, how to check accrued bonus on lic policy online, vested bonus lic, vested bonus calculator, how to calculate lic bonus, lic final additional bonus, lic bonus rate 2021 pdf, vested bonus in lic, lic bonus rate 2021, lic bonus 2021, lic diamond jubilee bonus, vested bonus in lic means, lic bonus information, vested bonus, lic policy bonus, lic fab rate 2021, lic bonus 2015-16, how to calculate bonus in lic, lic bonus rates for jeevan saral, lic return rate, bonus of lic, lic accrued bonus means, lic bonus rate 2021, how to check vested bonus in lic, lic interest rate 2021, vested bonus information, fab in lic means, lic vested bonus, final additional bonus lic, fab in lic, how to claim vested bonus in lic, what is fab in lic, lic vested bonus means, how to calculate vested bonus in lic, fab lic, what is accrued bonus in lic means, vested bonus in lic meaning, final additional bonus, vested bonus means in lic, lic bonus declaration date, lic bonus declaration, bonus 2021, lic bonus status, vested bonus lic meaning, what is vested bonus in lic, what is vested bonus, lic fab rate, lic bonus rates, meaning of vested bonus in lic, lic bonus, what is lic vested bonus, what is vested bonus in lic policy, lic loyalty bonus, lic final additional bonus 2020-21, vested bonus meaning lic, reversionary bonus calculation, lic bonus 2020-21, how to get vested bonus in lic
Alexa Rank
221,622
Gazeti la Jamhuri | Tunaanzia wanapoishia wengine. Wakati serikali ikiwekeza matrilioni ya fedha kupata umeme wa uhakika kutoka katika Bwawa la Nyerere lililoko Rufiji mkoani Pwani, hali ni tofauti kwenye vyanzo vya maji ya Mto Rufiji. Mto Rufiji ambao ndio chanzo kikuu cha umeme wa Stieglers (sasa Bwawa la Nyerere), hupokea maji kutoka vyanzo kadhaa ikiwa ni pamoja na Mto Kilombero uliopo Malinyi, mkoani Morogoro unaochangia karibu asilimia 70 ya maji ya Mto Rufiji. Kwa bahati mbaya shughuli za kibinadamu zinazoendelea ndani ya Bonde la Mto Kilombero kwa sasa zinahatarisha uhai wa Mto Rufiji na hata ufuaji wa umeme unaotarajiwa kuanza miaka michache ijayo endapo hatua za makusudi hazitachukuliwa. Kauli ya Rais Dk. John Magufuli ya kuwapo suluhu baina ya hifadhi mbalimbali na vijiji nchini aliyoitoa mwaka jana, inatumiwa kuhalalisha uwepo wa vijiji ndani ya bonde hilo, ingawa kiuhalisia uwepo huo hauna tija kwa Mradi wa Umeme wa Bwawa la Nyerere. Kwa upande mwingine, JAMHURI limegundua kuwapo kwa mnyukano kati ya wananchi na maofisa wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA), hivyo kusababisha vitendo vya rushwa na uhasama miongoni mwa makundi hayo mawili. "Mipaka kati ya Pori Tengefu la Kilombero na vijiji vya Ipela Asilia na Madabadaba haifahamiki sawasawa na kusababisha uhasama huo. Askari wa TAWA hawajui katika shughuli zao za ulinzi waheshimu mpaka gani; ule wa mwaka 2012 au mpya uliowekwa mwaka 2017. "Matokeo yake wanaendesha operesheni za kulinda mipaka hiyo kimabavu wakitumia silaha za moto na kuingia vijijini wakidai wanasaka majangili wakati si kweli. Wanatumia mwanya huo kujinufaisha wenyewe, maofisa wa serikali hasa Meneja wa Bonde la Mto Kilombero, Linus Chuwa na Ofisa Tawala wa Wilaya," anasema mwananchi mmoja wa Madabadaba, Kata ya Itete Njiwa. Mwananchi huyo anasema askari wa TAWA huomba rushwa ili wasipore mali za wananchi na kuzipeleka Kituo cha Polisi Mtimbira. Malalamiko ya wananchi hao wanaoishi ndani ya Bonde la Mto Kilombero hayajashughulikiwa na kiongozi yeyote wa serikali. Tuhuma Wananchi hao wameliambia JAMHURI kuwa uonevu huo ulianza mwaka 2017 baada ya kuwekwa mipaka mipya kutenganisha Pori Tengefu la Kilombero na makazi ya watu bila kuwashirikisha wananchi wanaodai alama za mipaka mipya zipo ndani ya maeneo ya vijiji, kwenye makazi yao, na sasa wanatakiwa kuondoka. Awali, mwaka 2012, uwekwaji mipaka uliwashirikisha wananchi na kushuhudiwa na waliokuwa mawaziri, Ezekiel Maige (Maliasili na Utalii) na Therezya Huvisa (Ofisi ya Rais Muungano na Mazingira). Inaelezwa kuwa tangu awali ilikuwapo migogoro kati ya vijiji hivyo na watu binafsi waliokuwa wakihodhi maeneo hayo, wakiwatoza wakulima na wafugaji kati ya Sh 200,000 hadi Sh 300,000 kuwaruhusu kufanya shughuli za kilimo au ufugaji. Wananchi wa Ipela Asilia na Madabadaba wanahoji sababu za askari wa TAWA kutowaondoa wafugaji na wakulima waliomo katikati ya pori tengefu, badala yake huvamia makazi ya watu na kufanya unyang'anyi kwa kutumia silaha. Hata hivyo, wapo wananchi wanaoamini kuwa migogoro iliyopo ni mipango ya makusudi kuficha serikali isigundue kuwapo kwa shughuli za kilimo na ufugaji ndani ya pori tengefu ili kutoa mwanya kwa maofisa wachache wasio waaminifu kufaidika kwa rushwa. Ofisa Mtendaji wa Kata ya Itete Njiwa, Mwajabu Ramadhani, anasema alipotembelea maeneo hayo Oktoba mwaka jana alikuta mashamba ya mpunga yenye ukubwa kati ya ekari 200 hadi 300 kando ya Mto Kilombero uliomo ndani ya mipaka ya pori tengefu, kitendo ambacho ni kinyume cha sheria. Wanyang'anywa mali Akizungumza na mwandishi wetu, askari mstaafu wa JWTZ, Anastatus Itunga, amesema trekta lake ni miongoni mwa mali za wananchi wa Ipela Asilia zilizoporwa na askari wa TAWA likidaiwa kukutwa ndani ya hifadhi, kisha yeye kufunguliwa mashitaka. "Sikuwa na fedha za kuwahonga waliokuwa wakishughulikia kesi yangu. Kwa hiyo nikashindwa kesi na kunyang'anywa trekta nililonunua kwa fedha ya mkopo," anasema Itunga aliyepata shinikizo na kupooza mkono na mguu upande wa kushoto kutokana na kitendo hicho. Katika Kituo cha Polisi Mtimbira, JAMHURI limeshuhudia matrekta manane yakiwa nje ya kituo hicho, mojawapo ni lililokuwa mali ya Itunga. Mawili miongoni mwa hayo manane; New Holland na Fiat, yalikamatwa Desemba mwaka jana yakidaiwa kukutwa ndani ya mipaka ya Pori Tengefu la Kilombero ingawa wenye mali wanadai kuwa si kweli, bali; "Yalikutwa ndani ya Kitongoji cha Ikotakota." Madai hayo yanathibitishwa na Mwenyekiti wa Kitongoji hicho, Kisinza Luhende, akisema matrekta hayo yalikamatwa na askari watano wa TAWA ilhali yakiwa katikati ya kitongoji chake na kuyachukua baada ya ombi lao la kupewa fedha kukataliwa. "Usiku huo askari hao wa TAWA walipora pia mtambo wa umeme wa nguvu ya jua, simu mbili za raia na ndoo iliyojaa maandazi baada ya kufyatua risasi hewani," anasema Luhende. Mmoja wa waathirika wa tukio hilo ni Athuman Malemeza, anayesema baada ya milio ya risasi yeye na wenzake sita walitoka kwenye hema lao la muda na kuamriwa kuchana mashuka yao kisha askari wakatumia vipande vya mashuka hayo kuwafunga mikono na miguu. "Tukaamrishwa kulala kifudifudi na kuanza kuchapwa viboko wakitaka tuonyeshe trekta lililokuja kwa ajili ya shughuli za kilimo," anasema Malemeza na kuongeza kuwa baada ya kuzidiwa, akawaonyesha lilipoegeshwa trekta alilokuwa akilisimamia aina ya New Holland, mali ya baba yake. Yeye na watu wengine 14 walikamatwa na kuombwa rushwa ili wasipelekwe polisi na kuwa watu, vibarua wa kilimo cha jembe la mkono, walichangishana na kutoa Sh 30,000 kisha wakaachiwa huru; lakini yeye akatakiwa kutoa Sh 2,000,000. Baada ya kujitetea kuwa hana kiasi hicho ila Sh 200,000 tu kwenye simu yake, akaambiwa awarushie kiasi hicho na angeachiwa baada ya kutoa Sh 1,200,000 (JAMHURI lina namba na ujumbe wa muamala huo). "Nikampigia simu baba, akasema anatafuta kiasi kilichobaki. Tukiwa njiani kwenda kituoni, tukakuta trekta jingine aina ya Fiat. Mmiliki wake (anayefahamika kwa jina la Paroko Charles Simbaliyana) naye akatakiwa atoe Sh 1,200,000 liachiwe," anasema Malemeza. Wakiwa bado njiani, baba yake akatuma mtu awape askari hao Sh 400,000 ili Malemeza aachiwe akaendelee na kilimo. Akaachiwa. Kwa upande wa mmiliki wa trekta jingine, Paroko (aliyekuwa Malinyi wilayani wakati hayo yakiendelea huko Ikotakota), badala ya kutoa pesa, akaamua kutoa taarifa kwa Katibu wa Kitongoji hicho, Rashid Uhaya na kutengeneza mazingira ya kuwakamatisha rushwa askari wahusika. Wahusishwa na rushwa "Nikawasiliana na ndugu yangu anayeitwa Rashid Said, akaenda kituoni kuandaa mazingira ya kuwakamata askari wale. Nikampa Rashid ujumbe mfupi wa muamala uliotumwa kwenye simu ya askari (kutoka kwa Malemeza) na mwonekano wa askari aliyepokea zile Sh 400,000 kutoka kwa baba yake Malemeza. "Katika maelezo yao kituoni, walidai kuwa trekta hilo limekutwa ndani ya pori tengefu, lakini Rashid akamwambia Mkuu wa Kituo (OCS), John Bosco, kuwa huo ni uongo, kwamba trekta hilo wamelikuta kwenye makazi ya watu. "Akamwambia kuwa mbali na trekta hilo, lipo jingine walilikamata mapema na kuliachia baada ya kuhongwa Sh 600,000 na kumwomba OCS awapekue askari wa TAWA," anasema Paroko. Upekuzi ukafanyika na mmoja kati yao akakutwa na Sh 400,000! Paroko anasema Rashid pia alimuonyesha OCS ujumbe mfupi wa muamala uliotumwa kwa mmoja kati ya askari hao. Mbele ya OCS, kwa mujibu wa Paroko, askari hao walikiri kukamata matrekta mawili wakidai walilazimika kuliacha moja kutokana na ubovu wake. OCS akaamuru hilo nalo lipelekwe kituoni. Askari hao waliwekwa mahabusu kwa tuhuma za rushwa na baadaye kuachiwa huru, ikidaiwa ni kwa maelekezo kutoka kwa Meneja wa Bonde la Mto Kilombero, Chuwa. Hata hivyo, pamoja na ushahidi wa kutosha bado matrekta hayo yapo kituoni hadi sasa huku kukidaiwa kuwapo mipango ya kuwaokoa askari hao kutoshitakiwa kwa makosa ya rushwa na hadi tunakwenda mitamboni, bado hawajafikishwa mahakamani. Ofisa Mtendaji Kata Itete Njiwa, Mwajabu, anathibitisha kuwapo kwa malalamiko ya wananchi kuvamiwa na kupigwa na askari wa TAWA kwenye maeneo kadhaa, akisema kwamba ni katika utekelezaji wa sheria ya kulinda pori tengefu. "Mpaka wa mwaka 2017 ndio unaotambulika kisheria. Wananchi wanapaswa kuuheshimu na kuondoka maeneo hayo. Shughuli za kilimo zimekatazwa na hakuna kujenga wala kufanya maendeleo kwenye maeneo hayo," anasema Mwajabu. Lawama dhidi ya askari wa TAWA zilitolewa pia na Diwani wa Itete Njiwa, Kassim Ndonde, anayesema kazi ya TAWA ni kuzuia uhalifu si kupora wananchi. Ndonde anafahamu kuwa mpaka wa mwaka 2012 uliokuwa eneo la Mkuza haukuwa halali, ila mpaka mpya wa mwaka 2017 ndio halali, ingawa kuwekwa kwake hakukuwashirikisha wananchi. Inadaiwa kuwa migogoro hiyo ilisababisha kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Ipela Asilia, Seresi Likondemi, aliyeuawa mwaka 2017 baada ya kuvamiwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana. Viongozi wanasemaje? Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Malinyi, Zeno Mbelembo, anasema mgogoro huo upo tangu Serikali ya Awamu ya Nne. "Tatizo ni mpaka mpya ambao kuwekwa kwake hakukushirikisha wananchi. Alipokuja hapa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla, alikagua na kuona mipaka yote miwili na kuhoji tatizo liko wapi? "Tukamwambia kuwa jiwe la mpaka wa awali lilikuwa umbali wa kilometa nane lakini sasa limesogezwa kijijini kwa kilometa tano nzima," anasema Mbelembo. Anasema Dk. Kigwangalla aliahidi kutatua suala hilo lakini hadi sasa hakuna kilichofanyika. Meneja wa Bonde la Mto Kilombero, Chuwa, ameliambia JAMHURI kuwa mapitio na uwekaji wa mipaka yalifanyika kwa maridhiano kati ya hifadhi na vijiji vinavyopakana na pori tengefu. "Kazi ilianza Januari 27, 2017 katika Kijiji cha Igawa ikiwa ni utekelezaji wa Sheria ya Wanyamapori Na. 5 ya mwaka 2009. Hili lisipotoshwe kuwa wananchi hawakushirikishwa. Mapitio hayo yaliwajumuisha viongozi mbalimbali wa mkoa, wilaya, Wizara ya Maliasili na Utalii, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na viongozi wa vijiji vyote," anasema Chuwa. JAMHURI limeelezwa kuwa vikao vya kutathmini mipaka vilijumuisha wananchi 15 kutoka kila kijiji kutokana na unyeti wa eneo la Bonde la Mto Kilombero. Baada ya JAMHURI kuondoka Malinyi wiki mbili zilizopita, Chuwa ameondolewa kituoni hapo na haijafahamika aliko hamishiwa. Katibu Tawala wa Wilaya ya Malinyi, Lameck Lusesa, anayetuhumiwa kuhusika au kuwalinda maofisa wa serikali wanaonyanyasa wananchi huku wakijinufaisha kwa rushwa, anakana tuhuma hizo akisema hana taarifa. "Iweje wewe upate taarifa huko Dar es Salaam mimi nisiwe nazo hapa Malinyi? Hizo ni taarifa za uongo," anasema Lusesa na kuongeza: "Taarifa ya kukamatwa kwa matrekta yakiwa mbugani ninayo na hadi tunavyozungumza, vielelezo viko tayari na tutaanza kuwachukulia hatua wahusika muda wowote." Anasema suala la uhifadhi wa bonde hilo si la mchezo, kwa sababu ndilo eneo pekee linalochangia asilimia 65 ya maji yanayotiririka Mto Rufiji kunakojengwa mradi mkubwa wa kufua umeme wa Julius Nyerere. "Bonde hili lina mito 28 na vijito kadhaa, lakini kutokana na uharibifu wa mazingira tumebaki na mito 14 tu inayotiririsha maji kwa mwaka mzima. Ni wajibu wetu kulilinda kwa nguvu zote bonde hili," anasema Lusesa. JAMHURI linafahamu kuwa tayari taarifa za maafande wale wa TAWA zipo mezani kwa Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Morogoro, Janeth Machulya. "Sisi tumeshafanyia kazi kipengele cha rushwa, kazi iliyobaki ni mamlaka nyingine kuchukua hatua zaidi," Janeth amemwambia mwandishi wa gazeti hili. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Mathayo Masele, anasema wilayani humo kuna wakulima 156,000 wanaotakiwa kudhibitiwa kulinda pori tengefu na kuokoa mazingira ya Mto Kilombero. "Nilishakataza wasilime maeneo hayo. Niliwaambia kuwa eneo hilo ni 'buffer zone' na linalodhibitiwa na TAWA. Wasifanye shughuli za kiuchumi katika maeneo hayo," anasema Masele. Masele anashauri ukulima unaotakiwa kufanyika kulinda mazingira ni ule wa kisasa unaofuata ushauri wa kitaalamu. "Bonde lisingekuwapo na wananchi wasingekuwapo na namna ya kuhakikisha bonde linabaki salama ni kuwaondoa wananchi wote walioko kwenye mipaka ya hifadhi. "Maji ya bonde hili ndiyo yatakayotumika kwenye Mradi wa Umeme wa Nyerere, hatuwezi kukubali umeme wa bei rahisi ushindwe kupatikana kwa sababu wananchi wanachezea hifadhi. "Mpaka sasa serikali haijaleta maelekezo mengine, yatakapotoka kwetu ni sheria. Hivyo, ninawataka wananchi kutoingia kwenye hifadhi. Mimi siwatumi TAWA wakaue watu! Mtu akiingia kwenye hifadhi ambayo tunaihitaji sana, mpige ngwala! Ndiyo. Kwa sababu amevamia hifadhi," anasema Masele. Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa TAWA anayehusika na Uhusiano wa Umma, Twaha Twalibu, anasema mamlaka hiyo itajenga vigingi 650 kwenye mpaka wa mwaka 2017 kuzunguka mzingo wote wa pori tengefu ili kuondoa mkanganyiko uliopo. Twaha anasema vigingi hivyo vitatenganishwa kwa mita 500 katika kilometa 325.69 za mpaka huo tofauti na mpango wa awali wa kuvitenganisha kwa kilometa moja. Katibu wa Waziri wa Maliasili na Utalii, Aristides Mkembela, amewashauri wananchi wa vijiji hivyo kuandika barua rasmi kwa waziri kumkumbusha ahadi ya kuunda kamati ya kuchunguza mgogoro wa mipaka hiyo. Usuli Bonde oevu la Kilombero lenye ukubwa wa kilomita za mraba 7,967 lilianzishwa mwaka 2002 likiwa miongoni mwa maeneo oevu nchini chini ya Mkataba wa Kimataifa wa Ramsar. Lipo katika wilaya za Malinyi, Kilombero na Ulanga mkoani Morogoro. Ndani yake kuna Pori Tengefu la Kilombero lililotangazwa katika Gazeti la Serikali mwaka 1952 kwa Sheria ya 'Flora and Fauna Ordinance' na baadaye kupewa GN namba 269 ya mwaka 1974 chini ya Sheria ya Wanyamapori Na. 12 ya 1974. Wakati huo lilikuwa na ukubwa wa kilometa za mraba 6,500 ambazo kwa sasa zinakadiriwa kubaki kilomita za mraba 2,200 tu baada ya kumegwa na kuanzishwa vijiji na shughuli mbalimbali za kibinadamu.
Alexa Rank
115,440
PORTAL BERITA KOBAR | www.kobarksb.com. Berita Sumbawa, Berita Sumbawa Barat, Berita Bima, Berita Dompu, Berita Lombok, Berita NTB, Berita Nasional, Politik, Hukum, Kriminal, Tajuk, Editorial, Opini, Jurnal, Advertorial, Pariwara, Iklan Niaga, Iklan Layanan Masyarakat.
Alexa Rank
89,678
Cercanos Travel Club. TRANSPORTE SEGURO Y CONFIABLE Club de Movilidad + Beneficios Encuentra nuestros puntos de atención en toda Bogotá - CC Sta Ana - CC Bulevar - El Retiro Shoping Center - CC Plaza Central - CC Bima - CC Calima - Centro de Convenciones Corferias - Almacenes Jumbo ( Hayuelos y 170)
Alexa Rank
137,743
BDidea36. Bdidea36.BLOGSPOT.com . we publish bank ,bima , IT & Technology NEWS .we provid best news in bangladesh. this news is helpful for your lifestyle.
Alexa Rank
490,355
Apply for New Ration Card Andhra Pradesh | Download Ration Card Online | Status Check - APRationCard
Alexa Rank
136,837
Safebima - Compare Insurance Quotes Online - Life | Child | Pension | Health | Term | Car Insurance. Compare Insurance Quotes Online - Life , Child , Pension , Health , Term , Car Insurance
Alexa Rank
304,443
ETALONNAGE & REPARATION & FOURNITURE AU MAROC – MCL MAROC
Alexa Rank
396,815
Welcome to Uttarakhand Health & Family Welfare Society. Uttaranchal Health & Family Welfare Society formerly known as SCOVA was constituted in the year 2002 with aim to serve as umbrella society for all national programs and effect health sector reforms with the help of external funding agencies such as European Commission & USAID.
Alexa Rank
255,627
081215944622 - Jual Obat Penurun Berat Badan Smart Detox. Kami menjual produk Obat Penurun Berat Badan Smart Detox Synergy. Bila ingin tampil dengan badan ideal konsumsilah selalu produk Synergy ini, karena sudah terbukti selama puluhan tahun. Untuk beli segera hubungi 0812-1594-4622
Alexa Rank
316,093
ইনস্যুরেন্স বিডি নিউজ, বীমা বিকাশে আলোকিত দ্বার । Insurancebd.news বীমা সংবাদ বাংলাদেশ
Alexa Rank
458,740