BIG LIST OF WEBSITES

List of Top Websites on Bilambil

Top 250 Websites on BILAMBIL

Download the Top 250 Websites to PDF

Last updated on Apr 1 2024.
Here are the best websites we found: easyredmine.com • ridhanur12.wordpress.com • cegerdostava.com • semutaspal.com • jamhurimedia.co.tz • dikbila.wordpress.com • depo.ba • voeeducacional.com.br • ekskluziva.ba

Press CTRL-D to bookmark this list - BigListofWebsites.com
Rank
Url
Preview
Tags
Score
Ikona Redmine - bila. Redmine solution by Easy is complex project & company management software. Favourite open source tool with plugins for resource,finance,customer. Try now!
Alexa Rank
134,636
ridhanuraini12 | Bila kita TEKUN, maka akan "Berhasil". Bila kita TEKUN, maka akan "Berhasil"
Alexa Rank
368,768
Ceger – dostava na klik. KLIK… i mi smo tu! Hrana nikada nije bila brža. Obojili smo Banjaluku u narandžasto, a svuda oko nas su zadovoljni, siti osmijesi! Konačno je dostupna potpuno nova dimenzija uživanja u hrani! Na jednom mjestu, svega par klikova od tebe, su specijaliteti najboljih banjalučkih restorana. Instaliraj aplikaciju, odaberi omiljeni restoran i jelo, i na odabranu […]
Alexa Rank
98,181
Semut Aspal: Semua akan dibahas bila sempat. Semuanya akan dibahas di Semut Aspal bila sempat dan tidak dikejar-kejar masalah. Selamat pagi kawanku, jangan lupa semangat!
Alexa Rank
264,597
Gazeti la Jamhuri | Tunaanzia wanapoishia wengine. Wakati serikali ikiwekeza matrilioni ya fedha kupata umeme wa uhakika kutoka katika Bwawa la Nyerere lililoko Rufiji mkoani Pwani, hali ni tofauti kwenye vyanzo vya maji ya Mto Rufiji. Mto Rufiji ambao ndio chanzo kikuu cha umeme wa Stieglers (sasa Bwawa la Nyerere), hupokea maji kutoka vyanzo kadhaa ikiwa ni pamoja na Mto Kilombero uliopo Malinyi, mkoani Morogoro unaochangia karibu asilimia 70 ya maji ya Mto Rufiji. Kwa bahati mbaya shughuli za kibinadamu zinazoendelea ndani ya Bonde la Mto Kilombero kwa sasa zinahatarisha uhai wa Mto Rufiji na hata ufuaji wa umeme unaotarajiwa kuanza miaka michache ijayo endapo hatua za makusudi hazitachukuliwa. Kauli ya Rais Dk. John Magufuli ya kuwapo suluhu baina ya hifadhi mbalimbali na vijiji nchini aliyoitoa mwaka jana, inatumiwa kuhalalisha uwepo wa vijiji ndani ya bonde hilo, ingawa kiuhalisia uwepo huo hauna tija kwa Mradi wa Umeme wa Bwawa la Nyerere. Kwa upande mwingine, JAMHURI limegundua kuwapo kwa mnyukano kati ya wananchi na maofisa wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA), hivyo kusababisha vitendo vya rushwa na uhasama miongoni mwa makundi hayo mawili. "Mipaka kati ya Pori Tengefu la Kilombero na vijiji vya Ipela Asilia na Madabadaba haifahamiki sawasawa na kusababisha uhasama huo. Askari wa TAWA hawajui katika shughuli zao za ulinzi waheshimu mpaka gani; ule wa mwaka 2012 au mpya uliowekwa mwaka 2017. "Matokeo yake wanaendesha operesheni za kulinda mipaka hiyo kimabavu wakitumia silaha za moto na kuingia vijijini wakidai wanasaka majangili wakati si kweli. Wanatumia mwanya huo kujinufaisha wenyewe, maofisa wa serikali hasa Meneja wa Bonde la Mto Kilombero, Linus Chuwa na Ofisa Tawala wa Wilaya," anasema mwananchi mmoja wa Madabadaba, Kata ya Itete Njiwa. Mwananchi huyo anasema askari wa TAWA huomba rushwa ili wasipore mali za wananchi na kuzipeleka Kituo cha Polisi Mtimbira. Malalamiko ya wananchi hao wanaoishi ndani ya Bonde la Mto Kilombero hayajashughulikiwa na kiongozi yeyote wa serikali. Tuhuma Wananchi hao wameliambia JAMHURI kuwa uonevu huo ulianza mwaka 2017 baada ya kuwekwa mipaka mipya kutenganisha Pori Tengefu la Kilombero na makazi ya watu bila kuwashirikisha wananchi wanaodai alama za mipaka mipya zipo ndani ya maeneo ya vijiji, kwenye makazi yao, na sasa wanatakiwa kuondoka. Awali, mwaka 2012, uwekwaji mipaka uliwashirikisha wananchi na kushuhudiwa na waliokuwa mawaziri, Ezekiel Maige (Maliasili na Utalii) na Therezya Huvisa (Ofisi ya Rais Muungano na Mazingira). Inaelezwa kuwa tangu awali ilikuwapo migogoro kati ya vijiji hivyo na watu binafsi waliokuwa wakihodhi maeneo hayo, wakiwatoza wakulima na wafugaji kati ya Sh 200,000 hadi Sh 300,000 kuwaruhusu kufanya shughuli za kilimo au ufugaji. Wananchi wa Ipela Asilia na Madabadaba wanahoji sababu za askari wa TAWA kutowaondoa wafugaji na wakulima waliomo katikati ya pori tengefu, badala yake huvamia makazi ya watu na kufanya unyang'anyi kwa kutumia silaha. Hata hivyo, wapo wananchi wanaoamini kuwa migogoro iliyopo ni mipango ya makusudi kuficha serikali isigundue kuwapo kwa shughuli za kilimo na ufugaji ndani ya pori tengefu ili kutoa mwanya kwa maofisa wachache wasio waaminifu kufaidika kwa rushwa. Ofisa Mtendaji wa Kata ya Itete Njiwa, Mwajabu Ramadhani, anasema alipotembelea maeneo hayo Oktoba mwaka jana alikuta mashamba ya mpunga yenye ukubwa kati ya ekari 200 hadi 300 kando ya Mto Kilombero uliomo ndani ya mipaka ya pori tengefu, kitendo ambacho ni kinyume cha sheria. Wanyang'anywa mali Akizungumza na mwandishi wetu, askari mstaafu wa JWTZ, Anastatus Itunga, amesema trekta lake ni miongoni mwa mali za wananchi wa Ipela Asilia zilizoporwa na askari wa TAWA likidaiwa kukutwa ndani ya hifadhi, kisha yeye kufunguliwa mashitaka. "Sikuwa na fedha za kuwahonga waliokuwa wakishughulikia kesi yangu. Kwa hiyo nikashindwa kesi na kunyang'anywa trekta nililonunua kwa fedha ya mkopo," anasema Itunga aliyepata shinikizo na kupooza mkono na mguu upande wa kushoto kutokana na kitendo hicho. Katika Kituo cha Polisi Mtimbira, JAMHURI limeshuhudia matrekta manane yakiwa nje ya kituo hicho, mojawapo ni lililokuwa mali ya Itunga. Mawili miongoni mwa hayo manane; New Holland na Fiat, yalikamatwa Desemba mwaka jana yakidaiwa kukutwa ndani ya mipaka ya Pori Tengefu la Kilombero ingawa wenye mali wanadai kuwa si kweli, bali; "Yalikutwa ndani ya Kitongoji cha Ikotakota." Madai hayo yanathibitishwa na Mwenyekiti wa Kitongoji hicho, Kisinza Luhende, akisema matrekta hayo yalikamatwa na askari watano wa TAWA ilhali yakiwa katikati ya kitongoji chake na kuyachukua baada ya ombi lao la kupewa fedha kukataliwa. "Usiku huo askari hao wa TAWA walipora pia mtambo wa umeme wa nguvu ya jua, simu mbili za raia na ndoo iliyojaa maandazi baada ya kufyatua risasi hewani," anasema Luhende. Mmoja wa waathirika wa tukio hilo ni Athuman Malemeza, anayesema baada ya milio ya risasi yeye na wenzake sita walitoka kwenye hema lao la muda na kuamriwa kuchana mashuka yao kisha askari wakatumia vipande vya mashuka hayo kuwafunga mikono na miguu. "Tukaamrishwa kulala kifudifudi na kuanza kuchapwa viboko wakitaka tuonyeshe trekta lililokuja kwa ajili ya shughuli za kilimo," anasema Malemeza na kuongeza kuwa baada ya kuzidiwa, akawaonyesha lilipoegeshwa trekta alilokuwa akilisimamia aina ya New Holland, mali ya baba yake. Yeye na watu wengine 14 walikamatwa na kuombwa rushwa ili wasipelekwe polisi na kuwa watu, vibarua wa kilimo cha jembe la mkono, walichangishana na kutoa Sh 30,000 kisha wakaachiwa huru; lakini yeye akatakiwa kutoa Sh 2,000,000. Baada ya kujitetea kuwa hana kiasi hicho ila Sh 200,000 tu kwenye simu yake, akaambiwa awarushie kiasi hicho na angeachiwa baada ya kutoa Sh 1,200,000 (JAMHURI lina namba na ujumbe wa muamala huo). "Nikampigia simu baba, akasema anatafuta kiasi kilichobaki. Tukiwa njiani kwenda kituoni, tukakuta trekta jingine aina ya Fiat. Mmiliki wake (anayefahamika kwa jina la Paroko Charles Simbaliyana) naye akatakiwa atoe Sh 1,200,000 liachiwe," anasema Malemeza. Wakiwa bado njiani, baba yake akatuma mtu awape askari hao Sh 400,000 ili Malemeza aachiwe akaendelee na kilimo. Akaachiwa. Kwa upande wa mmiliki wa trekta jingine, Paroko (aliyekuwa Malinyi wilayani wakati hayo yakiendelea huko Ikotakota), badala ya kutoa pesa, akaamua kutoa taarifa kwa Katibu wa Kitongoji hicho, Rashid Uhaya na kutengeneza mazingira ya kuwakamatisha rushwa askari wahusika. Wahusishwa na rushwa "Nikawasiliana na ndugu yangu anayeitwa Rashid Said, akaenda kituoni kuandaa mazingira ya kuwakamata askari wale. Nikampa Rashid ujumbe mfupi wa muamala uliotumwa kwenye simu ya askari (kutoka kwa Malemeza) na mwonekano wa askari aliyepokea zile Sh 400,000 kutoka kwa baba yake Malemeza. "Katika maelezo yao kituoni, walidai kuwa trekta hilo limekutwa ndani ya pori tengefu, lakini Rashid akamwambia Mkuu wa Kituo (OCS), John Bosco, kuwa huo ni uongo, kwamba trekta hilo wamelikuta kwenye makazi ya watu. "Akamwambia kuwa mbali na trekta hilo, lipo jingine walilikamata mapema na kuliachia baada ya kuhongwa Sh 600,000 na kumwomba OCS awapekue askari wa TAWA," anasema Paroko. Upekuzi ukafanyika na mmoja kati yao akakutwa na Sh 400,000! Paroko anasema Rashid pia alimuonyesha OCS ujumbe mfupi wa muamala uliotumwa kwa mmoja kati ya askari hao. Mbele ya OCS, kwa mujibu wa Paroko, askari hao walikiri kukamata matrekta mawili wakidai walilazimika kuliacha moja kutokana na ubovu wake. OCS akaamuru hilo nalo lipelekwe kituoni. Askari hao waliwekwa mahabusu kwa tuhuma za rushwa na baadaye kuachiwa huru, ikidaiwa ni kwa maelekezo kutoka kwa Meneja wa Bonde la Mto Kilombero, Chuwa. Hata hivyo, pamoja na ushahidi wa kutosha bado matrekta hayo yapo kituoni hadi sasa huku kukidaiwa kuwapo mipango ya kuwaokoa askari hao kutoshitakiwa kwa makosa ya rushwa na hadi tunakwenda mitamboni, bado hawajafikishwa mahakamani. Ofisa Mtendaji Kata Itete Njiwa, Mwajabu, anathibitisha kuwapo kwa malalamiko ya wananchi kuvamiwa na kupigwa na askari wa TAWA kwenye maeneo kadhaa, akisema kwamba ni katika utekelezaji wa sheria ya kulinda pori tengefu. "Mpaka wa mwaka 2017 ndio unaotambulika kisheria. Wananchi wanapaswa kuuheshimu na kuondoka maeneo hayo. Shughuli za kilimo zimekatazwa na hakuna kujenga wala kufanya maendeleo kwenye maeneo hayo," anasema Mwajabu. Lawama dhidi ya askari wa TAWA zilitolewa pia na Diwani wa Itete Njiwa, Kassim Ndonde, anayesema kazi ya TAWA ni kuzuia uhalifu si kupora wananchi. Ndonde anafahamu kuwa mpaka wa mwaka 2012 uliokuwa eneo la Mkuza haukuwa halali, ila mpaka mpya wa mwaka 2017 ndio halali, ingawa kuwekwa kwake hakukuwashirikisha wananchi. Inadaiwa kuwa migogoro hiyo ilisababisha kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Ipela Asilia, Seresi Likondemi, aliyeuawa mwaka 2017 baada ya kuvamiwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana. Viongozi wanasemaje? Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Malinyi, Zeno Mbelembo, anasema mgogoro huo upo tangu Serikali ya Awamu ya Nne. "Tatizo ni mpaka mpya ambao kuwekwa kwake hakukushirikisha wananchi. Alipokuja hapa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla, alikagua na kuona mipaka yote miwili na kuhoji tatizo liko wapi? "Tukamwambia kuwa jiwe la mpaka wa awali lilikuwa umbali wa kilometa nane lakini sasa limesogezwa kijijini kwa kilometa tano nzima," anasema Mbelembo. Anasema Dk. Kigwangalla aliahidi kutatua suala hilo lakini hadi sasa hakuna kilichofanyika. Meneja wa Bonde la Mto Kilombero, Chuwa, ameliambia JAMHURI kuwa mapitio na uwekaji wa mipaka yalifanyika kwa maridhiano kati ya hifadhi na vijiji vinavyopakana na pori tengefu. "Kazi ilianza Januari 27, 2017 katika Kijiji cha Igawa ikiwa ni utekelezaji wa Sheria ya Wanyamapori Na. 5 ya mwaka 2009. Hili lisipotoshwe kuwa wananchi hawakushirikishwa. Mapitio hayo yaliwajumuisha viongozi mbalimbali wa mkoa, wilaya, Wizara ya Maliasili na Utalii, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na viongozi wa vijiji vyote," anasema Chuwa. JAMHURI limeelezwa kuwa vikao vya kutathmini mipaka vilijumuisha wananchi 15 kutoka kila kijiji kutokana na unyeti wa eneo la Bonde la Mto Kilombero. Baada ya JAMHURI kuondoka Malinyi wiki mbili zilizopita, Chuwa ameondolewa kituoni hapo na haijafahamika aliko hamishiwa. Katibu Tawala wa Wilaya ya Malinyi, Lameck Lusesa, anayetuhumiwa kuhusika au kuwalinda maofisa wa serikali wanaonyanyasa wananchi huku wakijinufaisha kwa rushwa, anakana tuhuma hizo akisema hana taarifa. "Iweje wewe upate taarifa huko Dar es Salaam mimi nisiwe nazo hapa Malinyi? Hizo ni taarifa za uongo," anasema Lusesa na kuongeza: "Taarifa ya kukamatwa kwa matrekta yakiwa mbugani ninayo na hadi tunavyozungumza, vielelezo viko tayari na tutaanza kuwachukulia hatua wahusika muda wowote." Anasema suala la uhifadhi wa bonde hilo si la mchezo, kwa sababu ndilo eneo pekee linalochangia asilimia 65 ya maji yanayotiririka Mto Rufiji kunakojengwa mradi mkubwa wa kufua umeme wa Julius Nyerere. "Bonde hili lina mito 28 na vijito kadhaa, lakini kutokana na uharibifu wa mazingira tumebaki na mito 14 tu inayotiririsha maji kwa mwaka mzima. Ni wajibu wetu kulilinda kwa nguvu zote bonde hili," anasema Lusesa. JAMHURI linafahamu kuwa tayari taarifa za maafande wale wa TAWA zipo mezani kwa Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Morogoro, Janeth Machulya. "Sisi tumeshafanyia kazi kipengele cha rushwa, kazi iliyobaki ni mamlaka nyingine kuchukua hatua zaidi," Janeth amemwambia mwandishi wa gazeti hili. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Mathayo Masele, anasema wilayani humo kuna wakulima 156,000 wanaotakiwa kudhibitiwa kulinda pori tengefu na kuokoa mazingira ya Mto Kilombero. "Nilishakataza wasilime maeneo hayo. Niliwaambia kuwa eneo hilo ni 'buffer zone' na linalodhibitiwa na TAWA. Wasifanye shughuli za kiuchumi katika maeneo hayo," anasema Masele. Masele anashauri ukulima unaotakiwa kufanyika kulinda mazingira ni ule wa kisasa unaofuata ushauri wa kitaalamu. "Bonde lisingekuwapo na wananchi wasingekuwapo na namna ya kuhakikisha bonde linabaki salama ni kuwaondoa wananchi wote walioko kwenye mipaka ya hifadhi. "Maji ya bonde hili ndiyo yatakayotumika kwenye Mradi wa Umeme wa Nyerere, hatuwezi kukubali umeme wa bei rahisi ushindwe kupatikana kwa sababu wananchi wanachezea hifadhi. "Mpaka sasa serikali haijaleta maelekezo mengine, yatakapotoka kwetu ni sheria. Hivyo, ninawataka wananchi kutoingia kwenye hifadhi. Mimi siwatumi TAWA wakaue watu! Mtu akiingia kwenye hifadhi ambayo tunaihitaji sana, mpige ngwala! Ndiyo. Kwa sababu amevamia hifadhi," anasema Masele. Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa TAWA anayehusika na Uhusiano wa Umma, Twaha Twalibu, anasema mamlaka hiyo itajenga vigingi 650 kwenye mpaka wa mwaka 2017 kuzunguka mzingo wote wa pori tengefu ili kuondoa mkanganyiko uliopo. Twaha anasema vigingi hivyo vitatenganishwa kwa mita 500 katika kilometa 325.69 za mpaka huo tofauti na mpango wa awali wa kuvitenganisha kwa kilometa moja. Katibu wa Waziri wa Maliasili na Utalii, Aristides Mkembela, amewashauri wananchi wa vijiji hivyo kuandika barua rasmi kwa waziri kumkumbusha ahadi ya kuunda kamati ya kuchunguza mgogoro wa mipaka hiyo. Usuli Bonde oevu la Kilombero lenye ukubwa wa kilomita za mraba 7,967 lilianzishwa mwaka 2002 likiwa miongoni mwa maeneo oevu nchini chini ya Mkataba wa Kimataifa wa Ramsar. Lipo katika wilaya za Malinyi, Kilombero na Ulanga mkoani Morogoro. Ndani yake kuna Pori Tengefu la Kilombero lililotangazwa katika Gazeti la Serikali mwaka 1952 kwa Sheria ya 'Flora and Fauna Ordinance' na baadaye kupewa GN namba 269 ya mwaka 1974 chini ya Sheria ya Wanyamapori Na. 12 ya 1974. Wakati huo lilikuwa na ukubwa wa kilometa za mraba 6,500 ambazo kwa sasa zinakadiriwa kubaki kilomita za mraba 2,200 tu baada ya kumegwa na kuanzishwa vijiji na shughuli mbalimbali za kibinadamu.
Alexa Rank
115,440
VOE Educacional | Ensino Montessori Bilíngue
Alexa Rank
315,087
Ekskluziva.ba. Najposjećeniji showbizz portal
Alexa Rank
155,531
Elmeza Home |
Alexa Rank
184,479
Preduzetništvo i tehnologija – Startit. Startit — srpska startap scena iznutra, tehnologija i tehnološko preduzetništvo u fokusu, domaći uspesi, uspešni IT preduzetnici i kompanije, IT vesti i najave IT događaja i konferencija
Alexa Rank
230,444
KomerinG. dibalik stigma negatif yang ada dimasyarakat luar tentang komering, masyarakat komering dikenal sangat tekun akan beribadah, pandai berdagang dan negosiasi berkebun adalah mayoritas yang dikerjakan masyarakat komering selain bertani. Dan bila diluar (masyarakat komering rantauan) akan berupaya menyembunyikan identitas komeringnya hal ini pernah komering alami sendiri selagi komering kuliah di yogya sampai suatu ketika komering harus mengingkari identitas komering sebagai orang palembang, sebuah pengalaman yang sangat menyakitkan bahkan pernah suatu saat komering pulang kampung komering pergi ke lemabang (palembang) ke rumah teman yang asli pagar alam untuk mengajak pergi ke kampung komering walau dengan berat hati orang tuanya mengizinkan dengan alasan keamanan dan ke khawatiran
Alexa Rank
297,186
081215944622 - Jual Obat Penurun Berat Badan Smart Detox. Kami menjual produk Obat Penurun Berat Badan Smart Detox Synergy. Bila ingin tampil dengan badan ideal konsumsilah selalu produk Synergy ini, karena sudah terbukti selama puluhan tahun. Untuk beli segera hubungi 0812-1594-4622
Alexa Rank
316,093
Ajiri wafanyakazi huru na pata kazi ufanyakazi huru mtandaoni | Freelancer. Wapate na kuwaajiri wafanyikazi huru wa hali ya juu, watengenezaji wa tovuti na wabunifu bila gharama kubwa. Soko kubwa zaidi ulimwenguni lenye watu 48m. Pokea mapendekez
Alexa Rank
404,996
Tutorial Komputer - Iso Web Id. Iso Web Id tidak memiliki arti yang khusus, iso bila diartikan dalam bahasa Indonesia adalah BISA. Diangkatnya nama ini sebagai nama untuk WEB ini karena menurut kami ilmu itu tak terbatas/Luas.
Alexa Rank
424,924
Penganten | Inspirasi Pernikahan dan Prewedding. Ingin Melaksanakan Resepsi Pernikahan Islami? Pastikan Anda Hindari 5 Hal Ini Sebagai seorang muslim, melaksanakan pernikahan Islami tentu menjadi impian indah yang ingin diwujudkan. Di dalam Islam, sebuah resepsi pernikahan bukanlah semata perayaan biasa, namun memiliki nilai ibadah yang diatur tata cara dan syariatnya. Karena itulah, sebuah pernikahan Islami harus memerhatikan beberapa hal penting yang sebaiknya dihindari dalam pelaksanaan resepsi. Berikut adalah kelima hal tersebut. 1. Campur Baur Laki-laki dan Perempuan Dalam resepsi pernikahan, percampurbauran antara tamu laki-laki dan perempuan adalah hal yang biasa, padahal sebenarnya hal tersebut terlarang dalam Islam. Menurut Syaikh Muhammad Ibnu Shalih Utsaimin dalam Min Mungkarat Al-Aftrah hal 8, beliau menjelaskan bahwa ikhtilath atau campur baurnya laki-laki dan perempuan dapat memberikan dampak negatif. Di antara dampak negatif itu adalah bisa terjadi saling mencela jika penampilan kedua mempelai tidak menarik. Di sisi lain, bila mempelai cantik atau tampan, dikhawatirkan timbul fitnah syahwat dalam resepsi pernikahan itu. Selain itu, dapat terjadi pula fitnah seperti yang sering viral di media sosial, di mana mantan kekasih atau pacar dari salah satu mempelai justru menumpahkan perasaannya di tengah pesta. Hal-hal tersebut dapat dihindari bila tidak terjadi campur baur dalam resepsi pernikahan. 2. Melalaikan Ibadah Wajib Termasuk hal yang harus dihindari dalam pelaksanaan resepsi pernikahan, adalah meninggalkan ibadah wajib, terutama salat. Sangat disayangkan bila dalam sebuah resepsi pernikahan, baik mempelai maupun keluarganya sampai meninggalkan salat. Padahal orang sakit pun tetap wajib melaksanakan salat lima waktu. Di antara alasan mereka yang meninggalkan salat adalah agar make up yang sudah dibayar tidak sia-sia, alasan lain adalah banyaknya tamu yang tidak ingin ditinggalkan walau sejenak. Padahal resepsi pernikahan bukanlah alasan bolehnya meninggalkan salat lima waktu. Karena itu bila tidak ingin make up yang sudah dibayar menjadi sia-sia, sebaiknya pilihlah waktu resepsi yang tidak menabrak waktu salat wajib. 3. Mengadakan Hiburan dengan Nyanyian yang Haram Syaikh Muhammad Ibnu Shalih Al-Utsaimin mengatakan bahwa sebenarnya dalam Islam diperbolehkan adanya nyanyian dan hiburan dalam resepsi pernikahan. Tetapi penghibur atau penyanyinya harus menutup aurat dan tidak menyanyikan lagu-lagu yang mengumbar syahwat atau mendorong perbuatan zina. Sayangnya dalam resepsi pernikahan yang umum terjadi saat ini, hal tersebut tidak terlalu diperhatikan. Kebanyakan lagu yang dinyanyikan adalah lirik pengumbar syahwat dan dinyanyikan sambil melenggak-lenggokkan tubuh. Bahkan tak jarang pakaian yang dikenakan oleh biduan sangat terbuka. Hiburan seperti itu harus dihindari dalam pelaksanaan pernikahan yang Islami. 4. Bersikap Berlebih-lebihan Islam melarang sikap berlebih-lebihan dalam segala hal. Bahkan di dalam Alquran, Allah menyebut pelaku boros sebagai teman setan. Tidak kurang ada 22 ayat dalam Alquran yang membahas tentang ancaman bagi orang-orang yang bersikap boros dan berlebih-lebihan. Karena itu pesta pernikahan yang Islami haruslah terhindar dari pemborosan. Pemborosan yang kerap terjadi di antaranya adalah para tamu yang mengambil makanan dalam jumlah banyak, namun tidak menghabiskannya. Pihak mempelai juga kadang berlebihan dalam hal hiburan, busana, maupun dekorasi pernikahan. Tak jarang pula dalam resepsi disajikan menu makanan mewah yang tidak biasa di lidah para tamu, akibatnya makanan tersebut jadi tersisa. Bila ingin mengetahui tentang menu apa yang tepat untuk resepsi pernikahan Anda, silakan telusuri teguhboentoro.com. 5. Tidak Mengundang Fakir Miskin Rasulullah Shallallahu 'alaihi wa sallam bersabda: "Seburuk-buruk makanan adalah makanan walimah, hanya orang-orang kaya yang diundang kepadanya, sedangkan kaum fakir dibiarkan (tidak diundang)" (HR Bukhari dan Muslim) Maknanya bahwa dalam sebuah pernikahan Islami, tidak boleh hanya mengundang orang-orang kaya saja, sementara kaum fakir miskin diabaikan. Dengan ringkasan hal-hal yang harus dihindari ini, semoga Anda dapat melaksanakan pernikahan Islami yang sesuai sunah Rasulullah. Sehingga dapat terwujud keluarga Islami yang sakinah, mawaddah dan rahmah.
Alexa Rank
426,949
Paket Wisata Labuan Bajo Private Trip dan Open Trip Pulau Komodo. Paket Wisata Labuan Bajo Private Trip dan Open Trip Pulau Komodo, Merupakan Sebuah Paket Wisata dengan Konsep Perjalanan Berlayar menggunakan Kapal Wisata Berbahan Dasar Kayu, dimana Kita Bisa Merasakan Pengalaman Tinggal di atas Kapal Selama Beberapa Hari. Dengan Bergabung di Jadwal Open Trip, Peserta Bisa menghemat Biaya, Karena Paket Open Trip Menggunakan Sistem Share Cost, Tanpa ada Tambahan Biaya bila Kuota Tidak Terpenuhi. Sedangkan Paket Private Trip, Kita Bisa Mendapatkan Harga yang Lebih Murah, Jika Peserta yang Mengikuti Program Private Trip Lebih Banyak. Tambah Banyak Peserta yang Ikut, Maka Bertambah Murah pula Biaya Trip yang akan Kita Keluarkan.
Alexa Rank
426,822
JOMBIZ Academy | Automasi Bisnes Anda Semudah ABC. Tiru Step by Step Cara Untuk Automasi Bisnes Di Internet. Sertai JOMBIZ ACADEMY Dan Gandakan Pendapatan Anda Sekarang!
Alexa Rank
279,749
Famoza - vodeći teen portal na Balkanu - najnovije vesti o zvezdama. Famoza je prvi nezavisni regionalni portal za tinejdžere. Najnovije vesti o zvezdama kao što su Ariana Grande, BTS, Selena Gomez, Justin Bieber i drugi.
Alexa Rank
352,912
Telkom Kenya Limited | Telecommunications provider in Kenya
Alexa Rank
391,804
nina''s carrd. welcome!
Alexa Rank
426,221
Grand Online. Zvezde Granda, Nikad Nije Kasno, Neki Novi Klinci, Grand Narodna Televizija
Alexa Rank
446,582
Pengetahuan Islam - Media dan Informasi tentang Seputar Pengetahuan Islam. PengetahuanIslam.Com merupakan sebuah media dan informasi Situs Website yang menyediakan berbagai Pengetahuan tentang agama Islam
Alexa Rank
426,956
Біла Церква | 04563.com.ua - Сайт міста Білої Церкви та району (Белая Церковь). Сайт міста Білої Церкви та району. Новини, Довідник підприємств, Афіша, Фотозвіти, Оголошення, Карта, Маршрути транспорту. Білоцерківський сайт - 04563.com.ua.
Alexa Rank
531,013