BIG LIST OF WEBSITES

List of Top Websites on Haliday

Top 250 Websites on HALIDAY

Download the Top 250 Websites to PDF

Last updated on Apr 1 2024.
Here are the best websites we found: sopyo.com • ibb.istanbul • aytelcit.com • akvaryumhaliyikama.com • creahalisiparis.com • metropolhaliyikama.com • medihaber.com.tr • enteresan.com • babilhali.com

Press CTRL-D to bookmark this list - BigListofWebsites.com
Rank
Url
Preview
Tags
Score
Sopyo - E-ticaret''in en kolay hali! - Ücretsiz Pazaryeri Entegrasyonu. Sopyo, e-ticaret''in en kolay hali! Amazon, Akakçe, Gittigidiyor, Hepsiburada, n11 ve Trendyol için en kolay entegrasyon çözümüyüz.
Alexa Rank
71,042
İstanbul Büyükşehir Belediyesi. İstanbul Büyükşehir Belediyesi Kurumsal Web Sitesi
Alexa Rank
48,033
ANTALYA TEL ÇİT SİSTEMLERİ, BAHÇE ÇİTİ, ÇİM ÇİT, HALI SAHA | 0532 225 7969. ANTALYA TEL ÇİT SİSTEMLERİ, BAHÇE ÇİTİ, ÇİM ÇİT, HALI SAHA
Alexa Rank
435,568
Sayfa Bulunamadı - Koltuk Yıkama Hali Yıkama Stor perde Araç koltuk Battaniye Yorgan Yıkama. Koltuk Yıkama Hali Yıkama Stor perde Araç koltuk Battaniye Yorgan Yıkama 5 TL den başlayan fiyatlarla...
Alexa Rank
471,846
CREA HALI - Bayi Girişi. CREA HALI - Bayi Girişi
Alexa Rank
419,854
METROPOL HALI YIKAMA | 0 212 486 22 42. Halılarınız organik şampuanlarla hijyenik ve tertemiz olsun. Üstelik express yıkama ile 24 saatte teslim.
Alexa Rank
482,190
MediHaber - Haberin en yalın hali. MediHaber - Haberin en yalın hali Antalya'dan güncel haberler ve magazin haberleri
Alexa Rank
363,790
enteresan.com - internetin enteresan hali. enteresan.com - internetin enteresan hali -
Alexa Rank
366,040
BABİL HALI. BABİL HALI
Alexa Rank
419,750
ROYAL HALI OUTLET. Royal Halı, Atlas Halı, Pierre Cardin Halı outlet halılara özel indirimli online satış sitesi
Alexa Rank
418,830
WordPress Temalar | Eklentiler | Web Site Trafik Botları – Temanın En Ucuz Hali…
Alexa Rank
333,643
Octovan: Nakliyat ve Eşya Taşımanın En Kolay Hali. Güvenilir nakliyeciler ile evden eve nakliyat, eşya taşıma ve parça eşya taşıma fiyatları için hemen fiyat al ve kredi kartıyla online rezervasyon yap!
Alexa Rank
393,342
Taşların Estetiğe Dönüşmüş Hali | Tesbih Sevgisi. Ustasında Direkt Satış.1.Sınıf Tesbih Hammadde.En Uygun ve Kaliteli Damla,Sıkma,Ateş,Katalin Tesbih,Bileklik ve Kolye Modelleri.Tüm Ürünlerde Ücretsiz Kargo. Kalitenin Adresi Tesbihsevgisi
Alexa Rank
394,017
Extenship, Amazon''da Stoksuz Ticaretin En Kolay Hali
Alexa Rank
410,566
İdeal Hesap – Hesabın En İdeal Hali
Alexa Rank
418,583
Sosyal Sport - Sporun En Sosyal Hali
Alexa Rank
432,052
İngilizcelik.com | ingilizce'nin En Eğlenceli Hali
Alexa Rank
436,467
SEO'nun En Güzel Hali! - Güzel SEO. Güzel SEO, 2018'den beri yayında olan SEO ile ilgili bir sitedir. SEO hizmeti, backlink hizmeti (SEO ürünleri) satışı yapar, aynı zamanda aktif bir blogu da vardır.
Alexa Rank
450,526
Marie Antoinette - Çikolatanın En Lezzetli Hali ANA SAYFA. Türkiye''nin en özel lezzetine hoşgeldiniz. Katkı maddesi içermeyen ve tamamı elde özel tekniklerle üretilen cup, truffle ve praline çikolata Online satış...
Alexa Rank
451,473
Halı Kilim Online Satış Mağazası | Üstün Kalite | NTM HALI | ntmhali.com. Ntm Halı farklı ölçü ve desenlerde halı kilim modelleri ve fiyatları. Online satış mağazamızdan sipariş verin. Dünyaca ünlü marka Halı ve Kilim fiyatlarını
Alexa Rank
451,945
PIERRE CARDIN HALI. Pierre Cardin Halı- Evinize de bu yakışır.
Alexa Rank
452,223
Majori Jewellery - Gümüş Takının Şık Hali. Majori, gümüş takı tasarımı konusunda uzman kadrosu ile kolye, küpe, zincir, yüzük, bileklik, künye ve özel koleksiyon gibi ürünlerin üretimi ve online satışını yapmaktadır.
Alexa Rank
481,587
ÖzgünBilgi » Bilginin En Özgün Hali. Hayatın her alanından paylaştığımız özgün bilgiler. İnternetten para kazanma, teknoloji, moda, gündem, ekonomi, finans, rise online
Alexa Rank
483,792
Sportuel.com | Alışverişin En Keyifli Hali. Nike, Mavi, Skechers, Jack Jones, Greyder, LTB, Harley Davidson, Only, Lumberjack, Koton Orijinal markaları aynı gün ücretsiz kargo ile alabilirsiniz
Alexa Rank
486,430
Gazeti la Jamhuri | Tunaanzia wanapoishia wengine. Wakati serikali ikiwekeza matrilioni ya fedha kupata umeme wa uhakika kutoka katika Bwawa la Nyerere lililoko Rufiji mkoani Pwani, hali ni tofauti kwenye vyanzo vya maji ya Mto Rufiji. Mto Rufiji ambao ndio chanzo kikuu cha umeme wa Stieglers (sasa Bwawa la Nyerere), hupokea maji kutoka vyanzo kadhaa ikiwa ni pamoja na Mto Kilombero uliopo Malinyi, mkoani Morogoro unaochangia karibu asilimia 70 ya maji ya Mto Rufiji. Kwa bahati mbaya shughuli za kibinadamu zinazoendelea ndani ya Bonde la Mto Kilombero kwa sasa zinahatarisha uhai wa Mto Rufiji na hata ufuaji wa umeme unaotarajiwa kuanza miaka michache ijayo endapo hatua za makusudi hazitachukuliwa. Kauli ya Rais Dk. John Magufuli ya kuwapo suluhu baina ya hifadhi mbalimbali na vijiji nchini aliyoitoa mwaka jana, inatumiwa kuhalalisha uwepo wa vijiji ndani ya bonde hilo, ingawa kiuhalisia uwepo huo hauna tija kwa Mradi wa Umeme wa Bwawa la Nyerere. Kwa upande mwingine, JAMHURI limegundua kuwapo kwa mnyukano kati ya wananchi na maofisa wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA), hivyo kusababisha vitendo vya rushwa na uhasama miongoni mwa makundi hayo mawili. "Mipaka kati ya Pori Tengefu la Kilombero na vijiji vya Ipela Asilia na Madabadaba haifahamiki sawasawa na kusababisha uhasama huo. Askari wa TAWA hawajui katika shughuli zao za ulinzi waheshimu mpaka gani; ule wa mwaka 2012 au mpya uliowekwa mwaka 2017. "Matokeo yake wanaendesha operesheni za kulinda mipaka hiyo kimabavu wakitumia silaha za moto na kuingia vijijini wakidai wanasaka majangili wakati si kweli. Wanatumia mwanya huo kujinufaisha wenyewe, maofisa wa serikali hasa Meneja wa Bonde la Mto Kilombero, Linus Chuwa na Ofisa Tawala wa Wilaya," anasema mwananchi mmoja wa Madabadaba, Kata ya Itete Njiwa. Mwananchi huyo anasema askari wa TAWA huomba rushwa ili wasipore mali za wananchi na kuzipeleka Kituo cha Polisi Mtimbira. Malalamiko ya wananchi hao wanaoishi ndani ya Bonde la Mto Kilombero hayajashughulikiwa na kiongozi yeyote wa serikali. Tuhuma Wananchi hao wameliambia JAMHURI kuwa uonevu huo ulianza mwaka 2017 baada ya kuwekwa mipaka mipya kutenganisha Pori Tengefu la Kilombero na makazi ya watu bila kuwashirikisha wananchi wanaodai alama za mipaka mipya zipo ndani ya maeneo ya vijiji, kwenye makazi yao, na sasa wanatakiwa kuondoka. Awali, mwaka 2012, uwekwaji mipaka uliwashirikisha wananchi na kushuhudiwa na waliokuwa mawaziri, Ezekiel Maige (Maliasili na Utalii) na Therezya Huvisa (Ofisi ya Rais Muungano na Mazingira). Inaelezwa kuwa tangu awali ilikuwapo migogoro kati ya vijiji hivyo na watu binafsi waliokuwa wakihodhi maeneo hayo, wakiwatoza wakulima na wafugaji kati ya Sh 200,000 hadi Sh 300,000 kuwaruhusu kufanya shughuli za kilimo au ufugaji. Wananchi wa Ipela Asilia na Madabadaba wanahoji sababu za askari wa TAWA kutowaondoa wafugaji na wakulima waliomo katikati ya pori tengefu, badala yake huvamia makazi ya watu na kufanya unyang'anyi kwa kutumia silaha. Hata hivyo, wapo wananchi wanaoamini kuwa migogoro iliyopo ni mipango ya makusudi kuficha serikali isigundue kuwapo kwa shughuli za kilimo na ufugaji ndani ya pori tengefu ili kutoa mwanya kwa maofisa wachache wasio waaminifu kufaidika kwa rushwa. Ofisa Mtendaji wa Kata ya Itete Njiwa, Mwajabu Ramadhani, anasema alipotembelea maeneo hayo Oktoba mwaka jana alikuta mashamba ya mpunga yenye ukubwa kati ya ekari 200 hadi 300 kando ya Mto Kilombero uliomo ndani ya mipaka ya pori tengefu, kitendo ambacho ni kinyume cha sheria. Wanyang'anywa mali Akizungumza na mwandishi wetu, askari mstaafu wa JWTZ, Anastatus Itunga, amesema trekta lake ni miongoni mwa mali za wananchi wa Ipela Asilia zilizoporwa na askari wa TAWA likidaiwa kukutwa ndani ya hifadhi, kisha yeye kufunguliwa mashitaka. "Sikuwa na fedha za kuwahonga waliokuwa wakishughulikia kesi yangu. Kwa hiyo nikashindwa kesi na kunyang'anywa trekta nililonunua kwa fedha ya mkopo," anasema Itunga aliyepata shinikizo na kupooza mkono na mguu upande wa kushoto kutokana na kitendo hicho. Katika Kituo cha Polisi Mtimbira, JAMHURI limeshuhudia matrekta manane yakiwa nje ya kituo hicho, mojawapo ni lililokuwa mali ya Itunga. Mawili miongoni mwa hayo manane; New Holland na Fiat, yalikamatwa Desemba mwaka jana yakidaiwa kukutwa ndani ya mipaka ya Pori Tengefu la Kilombero ingawa wenye mali wanadai kuwa si kweli, bali; "Yalikutwa ndani ya Kitongoji cha Ikotakota." Madai hayo yanathibitishwa na Mwenyekiti wa Kitongoji hicho, Kisinza Luhende, akisema matrekta hayo yalikamatwa na askari watano wa TAWA ilhali yakiwa katikati ya kitongoji chake na kuyachukua baada ya ombi lao la kupewa fedha kukataliwa. "Usiku huo askari hao wa TAWA walipora pia mtambo wa umeme wa nguvu ya jua, simu mbili za raia na ndoo iliyojaa maandazi baada ya kufyatua risasi hewani," anasema Luhende. Mmoja wa waathirika wa tukio hilo ni Athuman Malemeza, anayesema baada ya milio ya risasi yeye na wenzake sita walitoka kwenye hema lao la muda na kuamriwa kuchana mashuka yao kisha askari wakatumia vipande vya mashuka hayo kuwafunga mikono na miguu. "Tukaamrishwa kulala kifudifudi na kuanza kuchapwa viboko wakitaka tuonyeshe trekta lililokuja kwa ajili ya shughuli za kilimo," anasema Malemeza na kuongeza kuwa baada ya kuzidiwa, akawaonyesha lilipoegeshwa trekta alilokuwa akilisimamia aina ya New Holland, mali ya baba yake. Yeye na watu wengine 14 walikamatwa na kuombwa rushwa ili wasipelekwe polisi na kuwa watu, vibarua wa kilimo cha jembe la mkono, walichangishana na kutoa Sh 30,000 kisha wakaachiwa huru; lakini yeye akatakiwa kutoa Sh 2,000,000. Baada ya kujitetea kuwa hana kiasi hicho ila Sh 200,000 tu kwenye simu yake, akaambiwa awarushie kiasi hicho na angeachiwa baada ya kutoa Sh 1,200,000 (JAMHURI lina namba na ujumbe wa muamala huo). "Nikampigia simu baba, akasema anatafuta kiasi kilichobaki. Tukiwa njiani kwenda kituoni, tukakuta trekta jingine aina ya Fiat. Mmiliki wake (anayefahamika kwa jina la Paroko Charles Simbaliyana) naye akatakiwa atoe Sh 1,200,000 liachiwe," anasema Malemeza. Wakiwa bado njiani, baba yake akatuma mtu awape askari hao Sh 400,000 ili Malemeza aachiwe akaendelee na kilimo. Akaachiwa. Kwa upande wa mmiliki wa trekta jingine, Paroko (aliyekuwa Malinyi wilayani wakati hayo yakiendelea huko Ikotakota), badala ya kutoa pesa, akaamua kutoa taarifa kwa Katibu wa Kitongoji hicho, Rashid Uhaya na kutengeneza mazingira ya kuwakamatisha rushwa askari wahusika. Wahusishwa na rushwa "Nikawasiliana na ndugu yangu anayeitwa Rashid Said, akaenda kituoni kuandaa mazingira ya kuwakamata askari wale. Nikampa Rashid ujumbe mfupi wa muamala uliotumwa kwenye simu ya askari (kutoka kwa Malemeza) na mwonekano wa askari aliyepokea zile Sh 400,000 kutoka kwa baba yake Malemeza. "Katika maelezo yao kituoni, walidai kuwa trekta hilo limekutwa ndani ya pori tengefu, lakini Rashid akamwambia Mkuu wa Kituo (OCS), John Bosco, kuwa huo ni uongo, kwamba trekta hilo wamelikuta kwenye makazi ya watu. "Akamwambia kuwa mbali na trekta hilo, lipo jingine walilikamata mapema na kuliachia baada ya kuhongwa Sh 600,000 na kumwomba OCS awapekue askari wa TAWA," anasema Paroko. Upekuzi ukafanyika na mmoja kati yao akakutwa na Sh 400,000! Paroko anasema Rashid pia alimuonyesha OCS ujumbe mfupi wa muamala uliotumwa kwa mmoja kati ya askari hao. Mbele ya OCS, kwa mujibu wa Paroko, askari hao walikiri kukamata matrekta mawili wakidai walilazimika kuliacha moja kutokana na ubovu wake. OCS akaamuru hilo nalo lipelekwe kituoni. Askari hao waliwekwa mahabusu kwa tuhuma za rushwa na baadaye kuachiwa huru, ikidaiwa ni kwa maelekezo kutoka kwa Meneja wa Bonde la Mto Kilombero, Chuwa. Hata hivyo, pamoja na ushahidi wa kutosha bado matrekta hayo yapo kituoni hadi sasa huku kukidaiwa kuwapo mipango ya kuwaokoa askari hao kutoshitakiwa kwa makosa ya rushwa na hadi tunakwenda mitamboni, bado hawajafikishwa mahakamani. Ofisa Mtendaji Kata Itete Njiwa, Mwajabu, anathibitisha kuwapo kwa malalamiko ya wananchi kuvamiwa na kupigwa na askari wa TAWA kwenye maeneo kadhaa, akisema kwamba ni katika utekelezaji wa sheria ya kulinda pori tengefu. "Mpaka wa mwaka 2017 ndio unaotambulika kisheria. Wananchi wanapaswa kuuheshimu na kuondoka maeneo hayo. Shughuli za kilimo zimekatazwa na hakuna kujenga wala kufanya maendeleo kwenye maeneo hayo," anasema Mwajabu. Lawama dhidi ya askari wa TAWA zilitolewa pia na Diwani wa Itete Njiwa, Kassim Ndonde, anayesema kazi ya TAWA ni kuzuia uhalifu si kupora wananchi. Ndonde anafahamu kuwa mpaka wa mwaka 2012 uliokuwa eneo la Mkuza haukuwa halali, ila mpaka mpya wa mwaka 2017 ndio halali, ingawa kuwekwa kwake hakukuwashirikisha wananchi. Inadaiwa kuwa migogoro hiyo ilisababisha kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Ipela Asilia, Seresi Likondemi, aliyeuawa mwaka 2017 baada ya kuvamiwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana. Viongozi wanasemaje? Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Malinyi, Zeno Mbelembo, anasema mgogoro huo upo tangu Serikali ya Awamu ya Nne. "Tatizo ni mpaka mpya ambao kuwekwa kwake hakukushirikisha wananchi. Alipokuja hapa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla, alikagua na kuona mipaka yote miwili na kuhoji tatizo liko wapi? "Tukamwambia kuwa jiwe la mpaka wa awali lilikuwa umbali wa kilometa nane lakini sasa limesogezwa kijijini kwa kilometa tano nzima," anasema Mbelembo. Anasema Dk. Kigwangalla aliahidi kutatua suala hilo lakini hadi sasa hakuna kilichofanyika. Meneja wa Bonde la Mto Kilombero, Chuwa, ameliambia JAMHURI kuwa mapitio na uwekaji wa mipaka yalifanyika kwa maridhiano kati ya hifadhi na vijiji vinavyopakana na pori tengefu. "Kazi ilianza Januari 27, 2017 katika Kijiji cha Igawa ikiwa ni utekelezaji wa Sheria ya Wanyamapori Na. 5 ya mwaka 2009. Hili lisipotoshwe kuwa wananchi hawakushirikishwa. Mapitio hayo yaliwajumuisha viongozi mbalimbali wa mkoa, wilaya, Wizara ya Maliasili na Utalii, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na viongozi wa vijiji vyote," anasema Chuwa. JAMHURI limeelezwa kuwa vikao vya kutathmini mipaka vilijumuisha wananchi 15 kutoka kila kijiji kutokana na unyeti wa eneo la Bonde la Mto Kilombero. Baada ya JAMHURI kuondoka Malinyi wiki mbili zilizopita, Chuwa ameondolewa kituoni hapo na haijafahamika aliko hamishiwa. Katibu Tawala wa Wilaya ya Malinyi, Lameck Lusesa, anayetuhumiwa kuhusika au kuwalinda maofisa wa serikali wanaonyanyasa wananchi huku wakijinufaisha kwa rushwa, anakana tuhuma hizo akisema hana taarifa. "Iweje wewe upate taarifa huko Dar es Salaam mimi nisiwe nazo hapa Malinyi? Hizo ni taarifa za uongo," anasema Lusesa na kuongeza: "Taarifa ya kukamatwa kwa matrekta yakiwa mbugani ninayo na hadi tunavyozungumza, vielelezo viko tayari na tutaanza kuwachukulia hatua wahusika muda wowote." Anasema suala la uhifadhi wa bonde hilo si la mchezo, kwa sababu ndilo eneo pekee linalochangia asilimia 65 ya maji yanayotiririka Mto Rufiji kunakojengwa mradi mkubwa wa kufua umeme wa Julius Nyerere. "Bonde hili lina mito 28 na vijito kadhaa, lakini kutokana na uharibifu wa mazingira tumebaki na mito 14 tu inayotiririsha maji kwa mwaka mzima. Ni wajibu wetu kulilinda kwa nguvu zote bonde hili," anasema Lusesa. JAMHURI linafahamu kuwa tayari taarifa za maafande wale wa TAWA zipo mezani kwa Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Morogoro, Janeth Machulya. "Sisi tumeshafanyia kazi kipengele cha rushwa, kazi iliyobaki ni mamlaka nyingine kuchukua hatua zaidi," Janeth amemwambia mwandishi wa gazeti hili. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Mathayo Masele, anasema wilayani humo kuna wakulima 156,000 wanaotakiwa kudhibitiwa kulinda pori tengefu na kuokoa mazingira ya Mto Kilombero. "Nilishakataza wasilime maeneo hayo. Niliwaambia kuwa eneo hilo ni 'buffer zone' na linalodhibitiwa na TAWA. Wasifanye shughuli za kiuchumi katika maeneo hayo," anasema Masele. Masele anashauri ukulima unaotakiwa kufanyika kulinda mazingira ni ule wa kisasa unaofuata ushauri wa kitaalamu. "Bonde lisingekuwapo na wananchi wasingekuwapo na namna ya kuhakikisha bonde linabaki salama ni kuwaondoa wananchi wote walioko kwenye mipaka ya hifadhi. "Maji ya bonde hili ndiyo yatakayotumika kwenye Mradi wa Umeme wa Nyerere, hatuwezi kukubali umeme wa bei rahisi ushindwe kupatikana kwa sababu wananchi wanachezea hifadhi. "Mpaka sasa serikali haijaleta maelekezo mengine, yatakapotoka kwetu ni sheria. Hivyo, ninawataka wananchi kutoingia kwenye hifadhi. Mimi siwatumi TAWA wakaue watu! Mtu akiingia kwenye hifadhi ambayo tunaihitaji sana, mpige ngwala! Ndiyo. Kwa sababu amevamia hifadhi," anasema Masele. Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa TAWA anayehusika na Uhusiano wa Umma, Twaha Twalibu, anasema mamlaka hiyo itajenga vigingi 650 kwenye mpaka wa mwaka 2017 kuzunguka mzingo wote wa pori tengefu ili kuondoa mkanganyiko uliopo. Twaha anasema vigingi hivyo vitatenganishwa kwa mita 500 katika kilometa 325.69 za mpaka huo tofauti na mpango wa awali wa kuvitenganisha kwa kilometa moja. Katibu wa Waziri wa Maliasili na Utalii, Aristides Mkembela, amewashauri wananchi wa vijiji hivyo kuandika barua rasmi kwa waziri kumkumbusha ahadi ya kuunda kamati ya kuchunguza mgogoro wa mipaka hiyo. Usuli Bonde oevu la Kilombero lenye ukubwa wa kilomita za mraba 7,967 lilianzishwa mwaka 2002 likiwa miongoni mwa maeneo oevu nchini chini ya Mkataba wa Kimataifa wa Ramsar. Lipo katika wilaya za Malinyi, Kilombero na Ulanga mkoani Morogoro. Ndani yake kuna Pori Tengefu la Kilombero lililotangazwa katika Gazeti la Serikali mwaka 1952 kwa Sheria ya 'Flora and Fauna Ordinance' na baadaye kupewa GN namba 269 ya mwaka 1974 chini ya Sheria ya Wanyamapori Na. 12 ya 1974. Wakati huo lilikuwa na ukubwa wa kilometa za mraba 6,500 ambazo kwa sasa zinakadiriwa kubaki kilomita za mraba 2,200 tu baada ya kumegwa na kuanzishwa vijiji na shughuli mbalimbali za kibinadamu.
Alexa Rank
115,440
İstanbul Büyükşehir Belediyesi. İstanbul Büyükşehir Belediyesi Kurumsal Web Sitesi
Alexa Rank
111,919
Ana Sayfa | Türkiye'nin Sosyal Haber Sitesi | HaberX Sosyal Network. Her tür haberi özgürce paylaşmak, yorumlamak, takip etmek için tıklayın. Gruplar ya da sayfalar oluşturun, yönetin. HaberX, Haberin Sosyalleşmiş Hali
Alexa Rank
163,535
Şanlıurfa Halı Yıkama Haliliye Halı Yıkama Karaköprü Halı yıkama. şanlıurfa halı yıkama haliliye şanlıurfa hali yikamacılar şanlıurfa halı yıkama karaköprü şanlıurfa halı yıkama haliliye / şanlıurfa şanlıurfa halı yıkama aleti
Alexa Rank
391,078
Ulusal Post - Son Dakika Haberler, Avrupa Haberleri. Ulusal Post Avrupa Türkçe Haber Sitesi Almanya Türkçe haberler Amerika Türkçe haberler
Alexa Rank
160,745
GENÇ MAKİNE; Otomatik yıkama makinası,halı sıkma makinası,Yorgan ve battaniye yıkama makinası,fırçalı halı yıkama makinası Konya. GENÇ MAKİNE;Konyada halı sıkma makinası,rulo sıkma makinası,hali yıkama makinasi,sanayi tipi halı sıkma makinası,santrifüj sıkma makinası,sanayi tipi halı sıkma ve rulo sıkma makinası,battaniye yıkama makinası,battaniye sıkma makinası,rulo tip halı sıkma makinası,yolluk sıkma makinası,fırçalı halı yıkama makinası,halı yıkama makinası fiyatları,halı sıkma makinası fiyatları,battaniye yıkama makinası fiyatları,halı yıkama makinası imalatcısı,battaniye yıkama makinası imalatcısı,ucuz halı yıkama ve halı sıkma makinası,ucuz battaniye yıkama makinası
Alexa Rank
436,231
Türkiye''nin En Büyük Online Halı Alışveriş Sitesi - Halı.net. Aradığınız en şık online halı alışveriş sitesi hali.net ile efsane indirimli halı modellerini en uygun fiyata satın al.
Alexa Rank
346,996
Shipy - So Easy, So Comfy, So Shiny!. Shipy - So Easy, So Comfy, So Shiny! | So Easy, So Comfy, So Shiny!
Alexa Rank
208,542
İpek Halı | İpek Carpet | İpek Mekik Halı. 1972’den bu yana faaliyet gösteren İpek Mekik Halı bugün geldiği noktada, modern ve teknolojik makina parkı ile, geniş kalite yelpazesi ve geniş ürün gamı ile üretim yapmaya ve müşterilerine her geçen gün, bir gün öncesinden daha kaliteli üretim yapmaya k
Alexa Rank
431,484
İpek Halı | İpek Carpet | İpek Mekik Halı. 1972’den bu yana faaliyet gösteren İpek Mekik Halı bugün geldiği noktada, modern ve teknolojik makina parkı ile, geniş kalite yelpazesi ve geniş ürün gamı ile üretim yapmaya ve müşterilerine her geçen gün, bir gün öncesinden daha kaliteli üretim yapmaya k
Alexa Rank
479,689
Yeni Nesil Dijital Banka | CEPTETEB. Dijital bankacılığın en yeni hali CEPTETEB''le bankacılık işlemlerini istediğin zaman istediğin yerden kolay ve hızlı bir şekilde halledersin. Hemen başvur!
Alexa Rank
327,689
FX Dizi İzle - Yerli Yabancı Diziler, Dublaj, Alt Yazılı Diziler. FX Dizi, dizinin en kısa hali! Yerli-yabancı dizi izle, Türkçe dublaj ya da alt yazılı dizi izlemek, 1080p kalitesinde seyretmek için hemen tıkla!
Alexa Rank
346,974
YetenekPaneL.com, Sesli Chat, En iyi Panelci, Panelci Arıyorum. YetenekPaneL.com En iyi panelci, Sesli Chat Panellerini %100 Optimizasyonlu hali ile hizmet verip sesli chat sunmaktadır.
Alexa Rank
366,660
Ajiri wafanyakazi huru na pata kazi ufanyakazi huru mtandaoni | Freelancer. Wapate na kuwaajiri wafanyikazi huru wa hali ya juu, watengenezaji wa tovuti na wabunifu bila gharama kubwa. Soko kubwa zaidi ulimwenguni lenye watu 48m. Pokea mapendekez
Alexa Rank
404,996
Cep Mendili. Cepmendili, Yeni nesil birikimlerin sizlere aktarılmış hali bu sitede hazır ve nazır bir şekilde sizleri bekliyor.
Alexa Rank
418,364
EMP – Ezberbozan Evrensel Efektif Mühendisler ve Profesyoneller. 3E Ezberbozan, Evrensel, Efektif Mühendisler ve Profesyoneller ‘Bir Mum Diğer Mumu Aydınlatmakla Işığından Bir Şey Kaybetmez’ 2012 yılından beri daha verimli Endüstri Mühendisleri yetişmesi için organizasyonlar yapıyor, projeler ve içerikler üretiyoruz. EMP hali hazırda binlerce üyesi ve yüzlerce gönüllüsü ile çalışmalarına devam etmektedir. İzle Hakkımızda 3EMP EMP 3 tane çizgiden oluşuyor ve aslında 3 E […]
Alexa Rank
435,342
EMP – Endüstri Mühendisliğim Platformu – Türkiye'nin Endüstri Mühendisliği Platformu. Endüstri, Verimli, Daha'sını İsteyen, Analitik Düşünen, Azimli Mühendislerin Platformuna Hoşgeldiniz Endüstri Mühendisi Maaşları Ne İş Yapar? Nasıl Çalışır? Bölümü Seçmeli Miyim? ‘Bir Mum Diğer Mumu Aydınlatmakla Işığından Bir Şey Kaybetmez’ 2012 yılından beri daha verimli Endüstri Mühendisleri yetişmesi için organizasyonlar yapıyor, projeler ve içerikler üretiyoruz.Endüstri Mühendisliğim Platformu hali hazırda binlerce üyesi ve yüzlerce gönüllüsü ile […]
Alexa Rank
449,977
WidgetUp | Teknoloji İçin Kısayol | Mobil Bilim Sosyal Medya. WidgetUp, teknoloji için kısayol oluşturarak mobil, bilim, sosyal medya, oyun ve daha birçok konuyu sizlere kısayol hali ile sunar. Teknoloji İçin Kısayol
Alexa Rank
453,546
Sağlığım, "Tek Tıkla Bilgi Elinde". Sağlığım, "Tek Tıkla Bilgi Elinde"
Alexa Rank
219,768
Gabba - Yüksek kalite - Tarzınıza uygun fonksiyonel ürünler.. Gabba 2020 New Collection. Yüksek kalite. Konforun en sade hali. Sıra dışı, asil ve lüx. Modern Ürünler, Tarzınıza uygun fonksiyonel ürünler.
Alexa Rank
477,719
halı saha yapan firmalar | Halı Saha Yapımı. halı saha yapan firmalar, halı saha maliyeti, halı saha yapımı, kapalı hali saha yapan firmalar, açık halı saha yapan firmalar
Alexa Rank
478,626
Sabuncakis Çiçek Siparişi - Tescilli ve Resmi Tek Web Sitesi. Sabuncakis Çiçek Siparişi - 145 yıldır sevginin en zarif hali - Türkiye''nin her yerine hızlı teslimat - Havale ve Kredi Katı ile ödeme imkanı - Online çiçek siparişi - Özel saat teslimat - VIP Çiçek Tasarımı - Aranjman Çiçekler - Sabuncakis - Sabuncakis Çiçek Siparişi - Sabuncakis Bomonti - Sabuncakis Şişli - Sabuncakis kadıköy
Alexa Rank
485,139
Cami Halısı l Akrilik Cami Halısı l Yün Cami Halısı. SARICA HALI: İlmeği Çok Olan Halılar Üretilmektedir.
Alexa Rank
485,367
CMT Cüzdan. Kolay ve hızlı şekilde cüzdandan para yollayın.İstediğiniz kişiye günün her saati cüzdandan para yollayın.
Alexa Rank
323,605
T.C. Adana Büyükşehir Belediyesi | Adana Büyükşehir Belediyesi. Adana Büyükşehir Belediyesi Kurumsal Web Sitesi
Alexa Rank
267,615
Güven Halı Yıkama - Halı Yıkama , Temiz Halı Yıkama 0 216 494 44 50. Halı Yıkama sektöründe İstanbul Pendik ve çevre bölgelerde hizmet veren kaliteli Halı Yıkama firması Güven Halı Yıkama.
Alexa Rank
431,366
Tosla
Alexa Rank
432,152
Ağır Ceza Avukatı Denizhan Aktoprak Anamur Alanya Silifke. Ağır ceza avukatı, Anamur, Alanya, Bozyazı, Antalya, en iyi ağır ceza avukatını arıyorum, Gazipaşa, Manavgat, Mersin, Silifke, Denizhan Aktoprak
Alexa Rank
449,646
IGLO Mimarlık - IGLO Architecture. Iglo Mimarlık, bütünü oluşturan her detaya önem veririz. estetik kadar fonksiyonun da önemli olduğunu biliriz.
Alexa Rank
450,777
Adana Seyhan Yüreğir Sarıçam Çukurova Halı Yıkama Fiyatları Firmaları
Alexa Rank
471,916
BiKurye | 0850 840 36 36 | Motorlu Kurye Hizmetleri | Bikurye.com.tr. Bi Kurye Olarak İstanbul'un Tüm İlçelerine Acil KURYE , Motorlu , Arabalı ve Express Kurye Hizmeti Vermekteyiz. 0850 840 36 36
Alexa Rank
473,557
Keşke Halı Yıkama - Başakşehir Halı Yıkama Kayaşehir Halkalı Atakent. Başakşehir Halı Yıkama, Keşke Halı Yıkama fabrikası olarak, Kayaşehir, Halkalı, Atakent ve Küçükçekmece'de profesyonel halı yıkama.
Alexa Rank
480,560
#MaskeniTakBolu – T.C. Bolu Belediyesi – Bolu'yu Seviyorum. Belediyemizin dünyaya açılan penceresinden herkese merhabalar.
Alexa Rank
346,891
Girişimcilik|Kripto Para|Dijital Reklam|NetworkMarketing|Teknoloji | Network Marketing Ve Kripto Para Bilgi Portalı. Yatırımınız karşılığında ön satıştan satın alacağınız widercoinlerinizi 365 gün masternode da kilitleyelerek ayda yüzde 20 widercoin ödülü kazanırsınız.
Alexa Rank
431,740
El Dokuma Halı. El dokuma halı ve el dokuma halıcılık sektöründe Türkiye'' de öncü firmayız. El dokuma halılarınızı alım ve satım işlemlerinizi yapmaktayız. El dokuma halı.
Alexa Rank
476,390
Haskara Halı Tekstil Mob. San. Tic. Ltd. Sti. Haskara Halı Tekstil Mob. San. Tic. Ltd. Sti
Alexa Rank
478,715
İnegöl Rehberim | İnegöl'ün En Kapsamlı Firma Rehberi. İnegöl'deki firmaları artık bir tık uzağınıza getirdik.
Alexa Rank
479,528