BIG LIST OF WEBSITES

List of Top Websites Like Hadiawang.com

Top 250 Websites Like HADIAWANG.COM

Download the Top 250 Websites to PDF

Last updated on Apr 1 2024.
Here are the best websites we found: hadiawang.com • gooya.com • kemenkeu.go.id • hadifene.com • presidenri.go.id • hadieliniuzat.com • hadialdin.com • hadimp.ir • setkab.go.id

Press CTRL-D to bookmark this list - BigListofWebsites.com
Rank
Url
Preview
Tags
Score
Hadi Awang – Presiden PAS
Alexa Rank
230,073
Gooya :: The persian portal of Iran News and Directory of Iranian Sites. Gooya iranian directory, informaion on: news, politics and personalities
Alexa Rank
9,980
Kementerian Keuangan RI. Kementerian Keuangan Republik Indonesia (disingkat Kemenkeu RI) adalah kementerian negara di lingkungan Pemerintah Indonesia yang membidangi urusan keuangan dan kekayaan negara, Kementerian Keuangan berkedudukan di bawah dan bertanggungjawab kepada Presiden
Alexa Rank
12,981
Hadi Fene - Fen Eğitim Merkezi. Hadi Fene - Fen Eğitim Merkezi
Alexa Rank
371,013
Laman Resmi Presiden Republik Indonesia • Presiden RI. Laman resmi Presiden Republik Indonesia. Menyajikan kabar dan dokumentasi kepresidenan teraktual.
Alexa Rank
135,746
Hadi Elini Uzat
Alexa Rank
393,870
Hadi Aldın
Alexa Rank
478,573
هادی محمدپور - وبسایت شخصی | Hadi MohammadPour Personal Website. هادی محمدپور - وبسایت شخصی | Hadi MohammadPour Personal Website. HadiMp -Urmia ,Iran. هادی محمدپور -ارومیه , ایران.
Alexa Rank
517,420
Sekretariat Kabinet Republik Indonesia | Kabinet Indonesia Maju. Sekretariat Kabinet mempunyai tugas memberikan dukungan pengelolaan manajemen kabinet kepada Presiden dan Wakil Presiden dalam penyelenggaraan pemerintahan.
Alexa Rank
61,974
HadiSohbet - Sohbet Chat Mobil Sohbet Odaları Bedava Sohbet. Hadi sohbet odaları ile bay bayan kişilerle üyeliksiz bedava mobil sohbet ederek tanışma keyfini yaşa. Seviyeli mobil chat sohbet burada.
Alexa Rank
478,577
خدمات پزشکی هوایی هادی | امبولانس هوایی | اورژانس هوایی | انتقال هوایی بیمار | HADI AMS. آمبولانس هوایی - انتقال هوایی بیمار توسط هواپیما و هلی کوپترمجهز به تجهیزات ICU در تمام نقاط کشور در کوتاهترین زمان ممکن توسط تیم پزشکی هوایی هادی.
Alexa Rank
367,295
Kantor Staf Presiden
Alexa Rank
368,372
Wakil Presiden Republik Indonesia – K. H. Ma'ruf Amin
Alexa Rank
429,024
Kitap Özeti – Kitap, kitap yurdu, kitap dünyasi, özet kitap, Kitap Özetleri, okumayan kalmasin, en güncel kitap özetleri. kitap dünyasi,özet kitaplar, kitapci,en yeni kitap okunmamis kitaptir, hadi oku, lütfen oku, okumak hayat kurtarır
Alexa Rank
451,178
Kementerian Sekretariat Negara RI. Website Resmi Kementerian Sekretariat Negara. Kementerian Sekretariat Negara adalah kementerian yang dipimpin oleh Menteri Sekretaris Negara, dan berkedudukan di bawah serta bertanggung jawab kepada Presiden
Alexa Rank
217,070
Utama - HarakahDaily
Alexa Rank
63,193
Jabarnews - Berita Jawa Barat. JabarNews adalah portal berita lokal dan hiperlokal yang menyajikan informasi nasional maupun Jawa Barat.
Alexa Rank
67,510
TIMES Indonesia | Media Online Berjaringan No 1 di Indonesia. Kantor Berita Positif Indonesia. Media Masyarakat 5.0. Media Online Berjaringan No 1 di Indonesia, Menyajikan Berita positif Indonesia untuk Masyarakat 5.0 berdasarkan trilogi jurnalisme positif serta berita olahraga Arema FC
Alexa Rank
134,952
Gazeti la Jamhuri | Tunaanzia wanapoishia wengine. Wakati serikali ikiwekeza matrilioni ya fedha kupata umeme wa uhakika kutoka katika Bwawa la Nyerere lililoko Rufiji mkoani Pwani, hali ni tofauti kwenye vyanzo vya maji ya Mto Rufiji. Mto Rufiji ambao ndio chanzo kikuu cha umeme wa Stieglers (sasa Bwawa la Nyerere), hupokea maji kutoka vyanzo kadhaa ikiwa ni pamoja na Mto Kilombero uliopo Malinyi, mkoani Morogoro unaochangia karibu asilimia 70 ya maji ya Mto Rufiji. Kwa bahati mbaya shughuli za kibinadamu zinazoendelea ndani ya Bonde la Mto Kilombero kwa sasa zinahatarisha uhai wa Mto Rufiji na hata ufuaji wa umeme unaotarajiwa kuanza miaka michache ijayo endapo hatua za makusudi hazitachukuliwa. Kauli ya Rais Dk. John Magufuli ya kuwapo suluhu baina ya hifadhi mbalimbali na vijiji nchini aliyoitoa mwaka jana, inatumiwa kuhalalisha uwepo wa vijiji ndani ya bonde hilo, ingawa kiuhalisia uwepo huo hauna tija kwa Mradi wa Umeme wa Bwawa la Nyerere. Kwa upande mwingine, JAMHURI limegundua kuwapo kwa mnyukano kati ya wananchi na maofisa wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA), hivyo kusababisha vitendo vya rushwa na uhasama miongoni mwa makundi hayo mawili. "Mipaka kati ya Pori Tengefu la Kilombero na vijiji vya Ipela Asilia na Madabadaba haifahamiki sawasawa na kusababisha uhasama huo. Askari wa TAWA hawajui katika shughuli zao za ulinzi waheshimu mpaka gani; ule wa mwaka 2012 au mpya uliowekwa mwaka 2017. "Matokeo yake wanaendesha operesheni za kulinda mipaka hiyo kimabavu wakitumia silaha za moto na kuingia vijijini wakidai wanasaka majangili wakati si kweli. Wanatumia mwanya huo kujinufaisha wenyewe, maofisa wa serikali hasa Meneja wa Bonde la Mto Kilombero, Linus Chuwa na Ofisa Tawala wa Wilaya," anasema mwananchi mmoja wa Madabadaba, Kata ya Itete Njiwa. Mwananchi huyo anasema askari wa TAWA huomba rushwa ili wasipore mali za wananchi na kuzipeleka Kituo cha Polisi Mtimbira. Malalamiko ya wananchi hao wanaoishi ndani ya Bonde la Mto Kilombero hayajashughulikiwa na kiongozi yeyote wa serikali. Tuhuma Wananchi hao wameliambia JAMHURI kuwa uonevu huo ulianza mwaka 2017 baada ya kuwekwa mipaka mipya kutenganisha Pori Tengefu la Kilombero na makazi ya watu bila kuwashirikisha wananchi wanaodai alama za mipaka mipya zipo ndani ya maeneo ya vijiji, kwenye makazi yao, na sasa wanatakiwa kuondoka. Awali, mwaka 2012, uwekwaji mipaka uliwashirikisha wananchi na kushuhudiwa na waliokuwa mawaziri, Ezekiel Maige (Maliasili na Utalii) na Therezya Huvisa (Ofisi ya Rais Muungano na Mazingira). Inaelezwa kuwa tangu awali ilikuwapo migogoro kati ya vijiji hivyo na watu binafsi waliokuwa wakihodhi maeneo hayo, wakiwatoza wakulima na wafugaji kati ya Sh 200,000 hadi Sh 300,000 kuwaruhusu kufanya shughuli za kilimo au ufugaji. Wananchi wa Ipela Asilia na Madabadaba wanahoji sababu za askari wa TAWA kutowaondoa wafugaji na wakulima waliomo katikati ya pori tengefu, badala yake huvamia makazi ya watu na kufanya unyang'anyi kwa kutumia silaha. Hata hivyo, wapo wananchi wanaoamini kuwa migogoro iliyopo ni mipango ya makusudi kuficha serikali isigundue kuwapo kwa shughuli za kilimo na ufugaji ndani ya pori tengefu ili kutoa mwanya kwa maofisa wachache wasio waaminifu kufaidika kwa rushwa. Ofisa Mtendaji wa Kata ya Itete Njiwa, Mwajabu Ramadhani, anasema alipotembelea maeneo hayo Oktoba mwaka jana alikuta mashamba ya mpunga yenye ukubwa kati ya ekari 200 hadi 300 kando ya Mto Kilombero uliomo ndani ya mipaka ya pori tengefu, kitendo ambacho ni kinyume cha sheria. Wanyang'anywa mali Akizungumza na mwandishi wetu, askari mstaafu wa JWTZ, Anastatus Itunga, amesema trekta lake ni miongoni mwa mali za wananchi wa Ipela Asilia zilizoporwa na askari wa TAWA likidaiwa kukutwa ndani ya hifadhi, kisha yeye kufunguliwa mashitaka. "Sikuwa na fedha za kuwahonga waliokuwa wakishughulikia kesi yangu. Kwa hiyo nikashindwa kesi na kunyang'anywa trekta nililonunua kwa fedha ya mkopo," anasema Itunga aliyepata shinikizo na kupooza mkono na mguu upande wa kushoto kutokana na kitendo hicho. Katika Kituo cha Polisi Mtimbira, JAMHURI limeshuhudia matrekta manane yakiwa nje ya kituo hicho, mojawapo ni lililokuwa mali ya Itunga. Mawili miongoni mwa hayo manane; New Holland na Fiat, yalikamatwa Desemba mwaka jana yakidaiwa kukutwa ndani ya mipaka ya Pori Tengefu la Kilombero ingawa wenye mali wanadai kuwa si kweli, bali; "Yalikutwa ndani ya Kitongoji cha Ikotakota." Madai hayo yanathibitishwa na Mwenyekiti wa Kitongoji hicho, Kisinza Luhende, akisema matrekta hayo yalikamatwa na askari watano wa TAWA ilhali yakiwa katikati ya kitongoji chake na kuyachukua baada ya ombi lao la kupewa fedha kukataliwa. "Usiku huo askari hao wa TAWA walipora pia mtambo wa umeme wa nguvu ya jua, simu mbili za raia na ndoo iliyojaa maandazi baada ya kufyatua risasi hewani," anasema Luhende. Mmoja wa waathirika wa tukio hilo ni Athuman Malemeza, anayesema baada ya milio ya risasi yeye na wenzake sita walitoka kwenye hema lao la muda na kuamriwa kuchana mashuka yao kisha askari wakatumia vipande vya mashuka hayo kuwafunga mikono na miguu. "Tukaamrishwa kulala kifudifudi na kuanza kuchapwa viboko wakitaka tuonyeshe trekta lililokuja kwa ajili ya shughuli za kilimo," anasema Malemeza na kuongeza kuwa baada ya kuzidiwa, akawaonyesha lilipoegeshwa trekta alilokuwa akilisimamia aina ya New Holland, mali ya baba yake. Yeye na watu wengine 14 walikamatwa na kuombwa rushwa ili wasipelekwe polisi na kuwa watu, vibarua wa kilimo cha jembe la mkono, walichangishana na kutoa Sh 30,000 kisha wakaachiwa huru; lakini yeye akatakiwa kutoa Sh 2,000,000. Baada ya kujitetea kuwa hana kiasi hicho ila Sh 200,000 tu kwenye simu yake, akaambiwa awarushie kiasi hicho na angeachiwa baada ya kutoa Sh 1,200,000 (JAMHURI lina namba na ujumbe wa muamala huo). "Nikampigia simu baba, akasema anatafuta kiasi kilichobaki. Tukiwa njiani kwenda kituoni, tukakuta trekta jingine aina ya Fiat. Mmiliki wake (anayefahamika kwa jina la Paroko Charles Simbaliyana) naye akatakiwa atoe Sh 1,200,000 liachiwe," anasema Malemeza. Wakiwa bado njiani, baba yake akatuma mtu awape askari hao Sh 400,000 ili Malemeza aachiwe akaendelee na kilimo. Akaachiwa. Kwa upande wa mmiliki wa trekta jingine, Paroko (aliyekuwa Malinyi wilayani wakati hayo yakiendelea huko Ikotakota), badala ya kutoa pesa, akaamua kutoa taarifa kwa Katibu wa Kitongoji hicho, Rashid Uhaya na kutengeneza mazingira ya kuwakamatisha rushwa askari wahusika. Wahusishwa na rushwa "Nikawasiliana na ndugu yangu anayeitwa Rashid Said, akaenda kituoni kuandaa mazingira ya kuwakamata askari wale. Nikampa Rashid ujumbe mfupi wa muamala uliotumwa kwenye simu ya askari (kutoka kwa Malemeza) na mwonekano wa askari aliyepokea zile Sh 400,000 kutoka kwa baba yake Malemeza. "Katika maelezo yao kituoni, walidai kuwa trekta hilo limekutwa ndani ya pori tengefu, lakini Rashid akamwambia Mkuu wa Kituo (OCS), John Bosco, kuwa huo ni uongo, kwamba trekta hilo wamelikuta kwenye makazi ya watu. "Akamwambia kuwa mbali na trekta hilo, lipo jingine walilikamata mapema na kuliachia baada ya kuhongwa Sh 600,000 na kumwomba OCS awapekue askari wa TAWA," anasema Paroko. Upekuzi ukafanyika na mmoja kati yao akakutwa na Sh 400,000! Paroko anasema Rashid pia alimuonyesha OCS ujumbe mfupi wa muamala uliotumwa kwa mmoja kati ya askari hao. Mbele ya OCS, kwa mujibu wa Paroko, askari hao walikiri kukamata matrekta mawili wakidai walilazimika kuliacha moja kutokana na ubovu wake. OCS akaamuru hilo nalo lipelekwe kituoni. Askari hao waliwekwa mahabusu kwa tuhuma za rushwa na baadaye kuachiwa huru, ikidaiwa ni kwa maelekezo kutoka kwa Meneja wa Bonde la Mto Kilombero, Chuwa. Hata hivyo, pamoja na ushahidi wa kutosha bado matrekta hayo yapo kituoni hadi sasa huku kukidaiwa kuwapo mipango ya kuwaokoa askari hao kutoshitakiwa kwa makosa ya rushwa na hadi tunakwenda mitamboni, bado hawajafikishwa mahakamani. Ofisa Mtendaji Kata Itete Njiwa, Mwajabu, anathibitisha kuwapo kwa malalamiko ya wananchi kuvamiwa na kupigwa na askari wa TAWA kwenye maeneo kadhaa, akisema kwamba ni katika utekelezaji wa sheria ya kulinda pori tengefu. "Mpaka wa mwaka 2017 ndio unaotambulika kisheria. Wananchi wanapaswa kuuheshimu na kuondoka maeneo hayo. Shughuli za kilimo zimekatazwa na hakuna kujenga wala kufanya maendeleo kwenye maeneo hayo," anasema Mwajabu. Lawama dhidi ya askari wa TAWA zilitolewa pia na Diwani wa Itete Njiwa, Kassim Ndonde, anayesema kazi ya TAWA ni kuzuia uhalifu si kupora wananchi. Ndonde anafahamu kuwa mpaka wa mwaka 2012 uliokuwa eneo la Mkuza haukuwa halali, ila mpaka mpya wa mwaka 2017 ndio halali, ingawa kuwekwa kwake hakukuwashirikisha wananchi. Inadaiwa kuwa migogoro hiyo ilisababisha kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Ipela Asilia, Seresi Likondemi, aliyeuawa mwaka 2017 baada ya kuvamiwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana. Viongozi wanasemaje? Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Malinyi, Zeno Mbelembo, anasema mgogoro huo upo tangu Serikali ya Awamu ya Nne. "Tatizo ni mpaka mpya ambao kuwekwa kwake hakukushirikisha wananchi. Alipokuja hapa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla, alikagua na kuona mipaka yote miwili na kuhoji tatizo liko wapi? "Tukamwambia kuwa jiwe la mpaka wa awali lilikuwa umbali wa kilometa nane lakini sasa limesogezwa kijijini kwa kilometa tano nzima," anasema Mbelembo. Anasema Dk. Kigwangalla aliahidi kutatua suala hilo lakini hadi sasa hakuna kilichofanyika. Meneja wa Bonde la Mto Kilombero, Chuwa, ameliambia JAMHURI kuwa mapitio na uwekaji wa mipaka yalifanyika kwa maridhiano kati ya hifadhi na vijiji vinavyopakana na pori tengefu. "Kazi ilianza Januari 27, 2017 katika Kijiji cha Igawa ikiwa ni utekelezaji wa Sheria ya Wanyamapori Na. 5 ya mwaka 2009. Hili lisipotoshwe kuwa wananchi hawakushirikishwa. Mapitio hayo yaliwajumuisha viongozi mbalimbali wa mkoa, wilaya, Wizara ya Maliasili na Utalii, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na viongozi wa vijiji vyote," anasema Chuwa. JAMHURI limeelezwa kuwa vikao vya kutathmini mipaka vilijumuisha wananchi 15 kutoka kila kijiji kutokana na unyeti wa eneo la Bonde la Mto Kilombero. Baada ya JAMHURI kuondoka Malinyi wiki mbili zilizopita, Chuwa ameondolewa kituoni hapo na haijafahamika aliko hamishiwa. Katibu Tawala wa Wilaya ya Malinyi, Lameck Lusesa, anayetuhumiwa kuhusika au kuwalinda maofisa wa serikali wanaonyanyasa wananchi huku wakijinufaisha kwa rushwa, anakana tuhuma hizo akisema hana taarifa. "Iweje wewe upate taarifa huko Dar es Salaam mimi nisiwe nazo hapa Malinyi? Hizo ni taarifa za uongo," anasema Lusesa na kuongeza: "Taarifa ya kukamatwa kwa matrekta yakiwa mbugani ninayo na hadi tunavyozungumza, vielelezo viko tayari na tutaanza kuwachukulia hatua wahusika muda wowote." Anasema suala la uhifadhi wa bonde hilo si la mchezo, kwa sababu ndilo eneo pekee linalochangia asilimia 65 ya maji yanayotiririka Mto Rufiji kunakojengwa mradi mkubwa wa kufua umeme wa Julius Nyerere. "Bonde hili lina mito 28 na vijito kadhaa, lakini kutokana na uharibifu wa mazingira tumebaki na mito 14 tu inayotiririsha maji kwa mwaka mzima. Ni wajibu wetu kulilinda kwa nguvu zote bonde hili," anasema Lusesa. JAMHURI linafahamu kuwa tayari taarifa za maafande wale wa TAWA zipo mezani kwa Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Morogoro, Janeth Machulya. "Sisi tumeshafanyia kazi kipengele cha rushwa, kazi iliyobaki ni mamlaka nyingine kuchukua hatua zaidi," Janeth amemwambia mwandishi wa gazeti hili. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Mathayo Masele, anasema wilayani humo kuna wakulima 156,000 wanaotakiwa kudhibitiwa kulinda pori tengefu na kuokoa mazingira ya Mto Kilombero. "Nilishakataza wasilime maeneo hayo. Niliwaambia kuwa eneo hilo ni 'buffer zone' na linalodhibitiwa na TAWA. Wasifanye shughuli za kiuchumi katika maeneo hayo," anasema Masele. Masele anashauri ukulima unaotakiwa kufanyika kulinda mazingira ni ule wa kisasa unaofuata ushauri wa kitaalamu. "Bonde lisingekuwapo na wananchi wasingekuwapo na namna ya kuhakikisha bonde linabaki salama ni kuwaondoa wananchi wote walioko kwenye mipaka ya hifadhi. "Maji ya bonde hili ndiyo yatakayotumika kwenye Mradi wa Umeme wa Nyerere, hatuwezi kukubali umeme wa bei rahisi ushindwe kupatikana kwa sababu wananchi wanachezea hifadhi. "Mpaka sasa serikali haijaleta maelekezo mengine, yatakapotoka kwetu ni sheria. Hivyo, ninawataka wananchi kutoingia kwenye hifadhi. Mimi siwatumi TAWA wakaue watu! Mtu akiingia kwenye hifadhi ambayo tunaihitaji sana, mpige ngwala! Ndiyo. Kwa sababu amevamia hifadhi," anasema Masele. Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa TAWA anayehusika na Uhusiano wa Umma, Twaha Twalibu, anasema mamlaka hiyo itajenga vigingi 650 kwenye mpaka wa mwaka 2017 kuzunguka mzingo wote wa pori tengefu ili kuondoa mkanganyiko uliopo. Twaha anasema vigingi hivyo vitatenganishwa kwa mita 500 katika kilometa 325.69 za mpaka huo tofauti na mpango wa awali wa kuvitenganisha kwa kilometa moja. Katibu wa Waziri wa Maliasili na Utalii, Aristides Mkembela, amewashauri wananchi wa vijiji hivyo kuandika barua rasmi kwa waziri kumkumbusha ahadi ya kuunda kamati ya kuchunguza mgogoro wa mipaka hiyo. Usuli Bonde oevu la Kilombero lenye ukubwa wa kilomita za mraba 7,967 lilianzishwa mwaka 2002 likiwa miongoni mwa maeneo oevu nchini chini ya Mkataba wa Kimataifa wa Ramsar. Lipo katika wilaya za Malinyi, Kilombero na Ulanga mkoani Morogoro. Ndani yake kuna Pori Tengefu la Kilombero lililotangazwa katika Gazeti la Serikali mwaka 1952 kwa Sheria ya 'Flora and Fauna Ordinance' na baadaye kupewa GN namba 269 ya mwaka 1974 chini ya Sheria ya Wanyamapori Na. 12 ya 1974. Wakati huo lilikuwa na ukubwa wa kilometa za mraba 6,500 ambazo kwa sasa zinakadiriwa kubaki kilomita za mraba 2,200 tu baada ya kumegwa na kuanzishwa vijiji na shughuli mbalimbali za kibinadamu.
Alexa Rank
115,440
En Yeni Kız Oyunları. Hadi Kızlar! mükemmel kız oyunları sayfasında oyun oynamak istermisiniz? Barbie, Makyaj, Yemek gibi tüm kategorilerde ücretsiz oyun oynatıyoruz...
Alexa Rank
436,614
Köylerimiz. Türkiyenin köyleri, köy haberleri, son dakika gelişmeleri, köy düğünleri, köy gelenek ve görenekleri, köy videoları, köy tarihçesi...
Alexa Rank
280,246
Alternatifle.COM - Aradığın her şeyi alternatifle!. Aradığın her şeyin alternatifini ve benzerlerini bulabileceğiniz, incelemelerine göz gezdirebileceğiniz platform, haydi alternatifle!
Alexa Rank
364,054
Berita Medan SUMUT Hari Ini Senin 30 November 2020 | Berita Medan Hari Ini. Berita Hari Ini Berita Medan SUMUT Hari Ini Senin 30 November 2020 - Berita Medan SUMUT Hari Ini Senin 30 November 2020 : Berita Medan SUMUT Hari Ini Senin 30 November 2020 - Update Berita Medan SUMUT Hari Ini Senin 30 November 2020, mungkin Berita Medan SUMUT Hari Ini Senin 30 November 2020 - Berita Medan SUMUT Hari Ini Senin 30 November 2020 sangat bermanfaat untuk anda. silahkan disimak Berita Medan SUMUT Hari Ini Senin 30 November 2020 berikut untuk lebih lengkapnya...
Alexa Rank
428,304
B2B Pazarlama Çözümleri – Dijitalist Marketing
Alexa Rank
435,928
Menerokai Keajaiban Alam Ciptaan Tuhan - Teroka Sains. Buku hasil nukilan Dr. Wan Fahmi Wan Mohamad Nazarie dan Dr. Nur Annies Abd Hadi ini ditulis dengan fakta yang menarik, gaya penulisan yang mudah untuk difahami dan paling penting, sangat mengujakan!
Alexa Rank
269,270
Kantor Berita RMOL Jakarta - RMOLJAKARTA. Kantor Berita RMOL Jakarta
Alexa Rank
151,121
SeegeN Yardım Sitesi - Anasayfa
Alexa Rank
485,509
Xyazar | İsmiyle Değil Fikriyle Müstesna. Bizi biz yapan fikirlerimizi, kelimelerin dünyasından sizlere aktarıyoruz. Hadi içeriğe buyurun!
Alexa Rank
364,551
Kabar.News - Kreatif Dan Informatif. Indeks berita hari ini viral kecelakaan kabar politik, ekonomi, presiden, jokowi, teroris, artis, hukum, teknologi, bisnis, kabar makassar, surabaya, jakarta bandung, palembang, dan internasional.
Alexa Rank
365,985
Portal Berita InfoPublik. Portal Berita Info Publik dikelola oleh Sub Direktorat Media Online, Direktorat Pengelolaan Media Publik, Direktorat Jenderal Informasi dan Komunikasi Publik, Kementerian Komunikasi dan Informatika Republik Indonesia
Alexa Rank
117,470
Sahibicinde Teknoloji Hizmetleri. Çok Çeşit, Uygun Fiyat Garantisiyle Türkiye'nin En Büyük Elektronik Mağazası Üstelik Tüm Ürünlerde Ücretsiz Kargo Ve Kapıda Ödeme Avantajı Sahibiçinde'de Hadi Sende Fırsatları Yakala İndirimleri Kaçırma
Alexa Rank
371,793
Badan Pembinaan Hukum Nasional. Badan Pembinaan Hukum Nasional BPHN Jaringan Dokumentasi Informasi Hukum JDIH
Alexa Rank
117,765
Ovvah – Özgür İçerik Platformu!. Birbirinden ilginç bilgiler, öğretici içerikler, hikayeler, testler, listeler ve daha birçok şey Ovvah 'da. Hadi durmayın gelin eğlenmeye ve öğrenmeye başlayın.
Alexa Rank
391,047
OYUN SKOR Bütün Oyunlar. Oyun Skor Türkiye''nin en iyi html5 ve flash oyunlar sitesi Oyunlar burada oynanır hadi durma sende hemen oyun oyna.
Alexa Rank
410,792
BADAN AMIL ZAKAT NASIONAL - BAZNAS. Badan Amil Zakat Nasional (BAZNAS) merupakan badan resmi dan satu-satunya yang dibentuk oleh pemerintah berdasarkan Keputusan Presiden RI No. 8 Tahun 2001 yang memiliki tugas dan fungsi menghimpun dan menyalurkan zakat, infaq, dan sedekah (ZIS) pada tingkat nasional.
Alexa Rank
422,585
Yazılım Market | Turkey''s Software Market. Yazılım Market İle Heycanı Yaşa Hadi KONTROL SENDE
Alexa Rank
437,787
Indonesia.go.id. Temukan hal-hal menakjubkan tentang keragaman seni, budaya dan alam Indonesia
Alexa Rank
123,922
SEO & Dijital Pazarlama Uzmanı » Atalay SIDAR. SEO nedir? Etkili SEO taktikleri, güncel algoritma güncellemeleri, dijital pazarlama içerikleri ve çok daha fazlasını içeride bulabilirsin. Hadi hemen göz at :)
Alexa Rank
472,733
Dekorolog: Ev Dekorasyon Blogu ve Fikirleri. Kendin yap fikirleri, dekorasyon trendleri, öneriler...Türk dekorasyon bloglarından dekorolog'da ev dekorasyon fikirlerine dair her şey var. Hadi gelsene :)
Alexa Rank
475,318
TH3KEN EDITON GOLD. Türkiyenin En iyi Exploiti & Kalite Roblox Hilesi, Hacks, Cheats, Scripts ve Daha Fazlasi, Hadi Sende Dene
Alexa Rank
487,297
Situs Berita Indonesia Terkini - Skanaa. Skanaa - Situs Berita Indonesia Terkini
Alexa Rank
268,139
inikatasultra.com - Semua Orang Membacanya. Semua Orang Membacanya
Alexa Rank
279,314
Swarnkar Rishtey - The No. 1 Site For Swarnkar Shadi & Marriage. SwarnkarRishtey- Most Trusted Swarnkar Matrimonial Website to Find Bride & Groom Profiles.Register now for FREE at http://www.swarnkarrishtey.in/
Alexa Rank
164,038
KabarJakarta.Com - Rujukan Berita Jakarta. Kabar Jakarta merupakan portal website berita Jakarta terbaru hari ini, dengan data akurat terpercaya sehingga menjadi referensi berita Jakarta
Alexa Rank
328,106
Yogyakarta International Airport | Kulon Progo
Alexa Rank
369,175
Homepage - Mencerdaskan & Memuliakan
Alexa Rank
422,683
Malto Datuan | Road To Maximum Achievement. Renungan di Penghujung Tahun 2016 Waktu adalah sesuatu yang tak terbendung, ia akan terus bergerak sekalipun kita telah lelah untuk beranjak dari tempat kita berdiri, ia akan terus melangkah ke depan sekalipun kita telah kehilangan semangat dalam mengarungi kehidupan ini. Tapi inilah realitas dari kehidupan, ketika kita merasa telah berjuang begitu keras, ternyata masih banyak kerikil…
Alexa Rank
426,326
Boelatuk | Informasi, Konsultasi, + Bumbu Terasi.. Informasi, Konsultasi, + Bumbu Terasi.
Alexa Rank
426,515
PPS-PPK GANDING BLOG | Melayani pemilih untuk memilih. Melayani pemilih untuk memilih
Alexa Rank
427,148
Pustaka Buku Bekas – jangan beli buku kalau belum tahu isinya!. jangan beli buku kalau belum tahu isinya!
Alexa Rank
427,272
Kantor Berita RMOL Aceh - RMOLACEH. Kantor Berita RMOL Aceh
Alexa Rank
427,544
Berita Terkini Medan Sumut - Utama News. Berita Terkini Medan Sumut - Portal berita online yang menyajikan informasi secara up to date
Alexa Rank
428,899
Alexa Rank
468,770
PAKDOSEN.CO.ID. PAKDOSEN.CO.ID adalah Website Resmi Untuk Berbagi Ilmu Pengetahuan Tentang Pendidikan Secara Umum, Baik SD SMP SMA SMK Ataupun Sarjana Strata 1 2 Dan 3......
Alexa Rank
266,850
TERASKATA.COM | Dari Timur Membangun Indonesia. Superstar UFC Conor McGregor bahkan lebih bersemangat menyambut perayaan Natal ini setelah mengumumkan bahwa dia dan Dee Deviln sedang menantikan anak ketiganya
Alexa Rank
267,276
081215944622 - Jual Obat Penurun Berat Badan Smart Detox. Kami menjual produk Obat Penurun Berat Badan Smart Detox Synergy. Bila ingin tampil dengan badan ideal konsumsilah selalu produk Synergy ini, karena sudah terbukti selama puluhan tahun. Untuk beli segera hubungi 0812-1594-4622
Alexa Rank
316,093
Al-Quran (القرآن) — Online Quran Project — Translation and Tafsir. A resource for anyone looking to understand the Sacred Text of Islam; the world's leading online source of Quran translation and commentary. Explore, read and search publications in many languages.
Alexa Rank
355,603
::Welcome to Karwan Aaley Yaseen HAJJ,UMRAH,ZIARAT and More. Karwan Aaley Yaseen is one of the most trusted names in Hajj,Umrah and Ziyarat services. With over 150 tour personells all over the country and IRAN,IRAQ and SYRIA we make sure that our customers get the freedom of choice and planning their tours.
Alexa Rank
402,537
Lima Menit – Publish News Perfectly. LimaMenit.ID adalah portal berita online dan hiburan yang berfokus memberikan informasi secara cepat dan benar kepada pembaca Indonesia.
Alexa Rank
425,726